hemed rasuli
Member
- Apr 5, 2020
- 17
- 25
Sawa mkuu.inawezekana maana ni kitambaa boss
Ndio boss ila itabidi ulifungue au ulifute kwa kitambaa chenye unyevuMazuri sana.
Kufua vipi hayo makabati yanafulika ?
kabisa boss ni very portableMaisha yamekuwa simple sana ukitaka kuama unabeba kabati lako mgongoni
Karibu sana bossNitakutafuta nichukue hilo la milango minne
Karibu bossNitakucheki
ahsante na karibu pia bossYanapendeza na kila la kheri...
[emoji38][emoji38]Likiwa jipya zuri sana ngoja lilkae kae ndani unalikuta limeanguka chini na nguo
we umekaa nalo kwa mda gani boss...na pia uliweka mzigo kiasi ganiLikiwa jipya zuri sana ngoja lilkae kae ndani unalikuta limeanguka chini na nguo
hapana boss haya makabati yako poa yale ya zamani ndo yalikua weak ila ya sasa hv yako poa lakini pia kila kitu na namna unavyokitunzahauna za mbao? maana hizo ni kama kuku wa kizungu tu..
Hahahaha hilo halitakiwi uhame hame😅😅😅we umekaa nalo kwa mda gani boss...na pia uliweka mzigo kiasi gani