Duuuh hivi vyuma sio kabisa, watu wanapita kimya kimya tuu,
tena nyumba ya maana kabisa mkuu.40M sasa hivi ni nyumba sio kiwanja.
panaonekana pazuri, ila punguza bei kidogo, yaani spm 1 tshs 27 alfu.Salaam,
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi mwanzo (kituo cha mbuyuni)
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1440 (48*30)
Kiwanja kipo umbali wa meter 400 kutoka barabara ya lami.
Kiwanja kina hati miliki (tittle deed)
Kiwanja kipo katika mazingira mazuri na ni tambarare.
Umbali kutoka segerea ni 1.5km
Price: 40m
Contact: 0756 832833View attachment 951063View attachment 951064View attachment 951065View attachment 951066View attachment 951071View attachment 951070View attachment 951072
Tshs 28,000,000/Sqm 1225Salaam,
Kiwanja kinauzwa kipo GOBA center njia inayoenda makongo juu. (Karibu na kantina garden)
Kutoka goba center mpaka kwenye KIWANJA ni umbali wa meter 400-500
Kiwanja ni cha tatu kutoka barabara ya lami.
MAELEZO YA KIWANJA
kiwanja kina ukubwa wa meter 35 kwa 35
(Sqm 1225)
Kiwanja kina mwinuko kidogo (kulingana na geografia ya GOBA ilivyo)
Kiwanja kipo karibu na barabara ya lami.
KIWANJA hakijapimwa ila zoezi la urasimishaji makazi umeanza/unaendelea.
OFFER/ASKING PRICE: 28M (neg)
Contact: 0756 832833View attachment 944080View attachment 944081View attachment 944082View attachment 944084
Bahati mbaya sana ameshasema hauzi ksa bri mnayomtaka auzeNakushauri pokea. Juzi tumeuza 1600sqm kwa 14m Bunju B
KeshakubaliBahati mbaya sana ameshasema hauzi ksa bri mnayomtaka auze
Sawa.
Mwanangu mbu ukipigiwa makofi haina maana wanakupongeza wanataka kukuuaKeshakubali