Tunauza miche ya migomba/ndizi za kisasa iliyo tengenezwa maabara

Tunauza miche ya migomba/ndizi za kisasa iliyo tengenezwa maabara

joackagrovet

Member
Joined
Sep 11, 2024
Posts
9
Reaction score
9
TUNAUZA MICHE YA MIGOMBA/NDIZI ZA KISASA ILIYO TENGENEZWA MAABARA

Migomba/Ndizi aina ya GRAND NAIN (G-9) hii ni mbegu ya kimataifa.

Aina hii ya ndizi huboreshwa kwanjia za kisayansi maabara ambayo inaitwa Tissue Culture, lengo ni kuongeza ubora.

Tissue Culture ni uoteshaji wa seli au tishu zilizotolewa katika mmea husika au kiumbe na kuziotesha sehemu maalumu.

Kwa tafsiri ya kingereza
Tissue Culture: is the growth of tissues or cells in an artificial medium separate from the organism.

Mbegu hii inafanana na ndizi flani zinaitwa kimalindi au mtwike.

Ndizi hizi ni nzur kwa kupika na pia kuliwa kama tunda.

Wakulia watakao wezakulima ekari moja na kuendelea tunaingia nao mikataka nakununua ndizi kwao.

Aina nyingine za ndizi tulizonazo

1. Ndizi malindi (Tunda + Kupika)

Aina za ndizi malindi
a. Malindi ndefu.
b. Malindi fupi

2. Ndizi mzuzu (Za kupika)

3. Ndizi kisukarii (Tunda)

4. Ndizi bukoba (Za kukaanga maranyingi wauza chipsi au kwenye mabar wanazitumia)

5. Ndizi mshale (Zakupika)

6. Ndizi mkono wa tembo

7. Ndizi Jamaica

9. Ndizi FHIA, nk

#joackvetcenter #joackcompany #joackpestcontrol #ndizi #bananaplant #micheyamigomba #micheyandizi #micheyamatunda #bananatissueculture #nduzimzuzu #ndizimshale #ndizimkonowatembo #ndizikisukari #nduzimalindi #nduzimzuzu

Simu:
+255 714 636 375 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
kilimotz3@gmail.com

YouTube:
View: https://youtu.be/u2szG8izfqU

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: JOACK COMPANY LTD · Tegeta - Wazo hill Dar es Salaam TZ, 67414, Tansania

joackcompany
@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#bananatree #dodoma #vuazilishe #mbogamboga #kilimo #kilimotz #mwanza #tanzania #tanzania🇹🇿 #tanzania #daressalaam #kampuniyamifugotanzania #kampuniyakilimotanzania #kilimomifugonauvuvikwaukuaji #kilimomifugo
 

Attachments

  • joackagrovet-20240918-0001.mp4
    2.8 MB
TUNAUZA MICHE YA MIGOMBA/NDIZI ZA KISASA ILIYO TENGENEZWA MAABARA

Migomba/Ndizi aina ya GRAND NAIN (G-9) hii ni mbegu ya kimataifa.

Aina hii ya ndizi huboreshwa kwanjia za kisayansi maabara ambayo inaitwa Tissue Culture, lengo ni kuongeza ubora.

Tissue Culture ni uoteshaji wa seli au tishu zilizotolewa katika mmea husika au kiumbe na kuziotesha sehemu maalumu.

Kwa tafsiri ya kingereza
Tissue Culture: is the growth of tissues or cells in an artificial medium separate from the organism.

Mbegu hii inafanana na ndizi flani zinaitwa kimalindi au mtwike.

Ndizi hizi ni nzur kwa kupika na pia kuliwa kama tunda.

Wakulia watakao wezakulima ekari moja na kuendelea tunaingia nao mikataka nakununua ndizi kwao.

Aina nyingine za ndizi tulizonazo

1. Ndizi malindi (Tunda + Kupika)

Aina za ndizi malindi
a. Malindi ndefu.
b. Malindi fupi

2. Ndizi mzuzu (Za kupika)

3. Ndizi kisukarii (Tunda)

4. Ndizi bukoba (Za kukaanga maranyingi wauza chipsi au kwenye mabar wanazitumia)

5. Ndizi mshale (Zakupika)

6. Ndizi mkono wa tembo

7. Ndizi Jamaica

9. Ndizi FHIA, nk

#joackvetcenter #joackcompany #joackpestcontrol #ndizi #bananaplant #micheyamigomba #micheyandizi #micheyamatunda #bananatissueculture #nduzimzuzu #ndizimshale #ndizimkonowatembo #ndizikisukari #nduzimalindi #nduzimzuzu

Simu:
+255 714 636 375 (WhatsApp)
+255 692 43 02 63

Email:
kilimotz3@gmail.com

YouTube:
View: https://youtu.be/u2szG8izfqU

Website link: https://joackcompany.business.site/

Google location: JOACK COMPANY LTD · Tegeta - Wazo hill Dar es Salaam TZ, 67414, Tansania

joackcompany
@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#bananatree #dodoma #vuazilishe #mbogamboga #kilimo #kilimotz #mwanza #tanzania #tanzania🇹🇿 #tanzania #daressalaam #kampuniyamifugotanzania #kampuniyakilimotanzania #kilimomifugonauvuvikwaukuaji #kilimomifugo

Nina ekari mbili Dodoma,Huwa hapa mazao yote yanakubali,swala ni maji tunaweza kumwagilia?Tunaingia mkataba.
 
..unayo miche ya ndizi williams na french plantain?

..unaweza kutuwekea picha za mikungu ya ndizi hizo tuione?

..unazo ndizo zilizoboreshwa na kituo cha utafiti cha Tari?

cc Lily Tony
 
Back
Top Bottom