INAUZWA Tunauza mizani ya kisasa ya kupima chakula cha mifugo

INAUZWA Tunauza mizani ya kisasa ya kupima chakula cha mifugo

mrkazi360

Member
Joined
Sep 19, 2023
Posts
20
Reaction score
15
Tunauza mizani ya kisasa yenye uwezo wa kupima 0 kg hadi 300 kg .

- Mizani hii ni mizuri sana kwani inatumia betri za remote.

- Mizani hii hutumika kupimia chakula cha mifugo wakati wa kuchanganya.

- Pia unaweza kupima nyama na bidhaa zingine

- Unaweza kuhutumia hata kwenye giza ama wakati wa usiku kwani una display yenye mwanga.

- Mizani hii ni portable sana hivyo unaweza weka hata kwenye mfuko wa shati ukaenda kupiga kazi kokote.

- Mizani yetu imeundwa na chuma hivyo hudumu kwa muda mrefu sana na inakuja ikiwa na warranty ya mwaka mzima.

Utaipata kwa bei ya Tsh80,000/=

Karibu sana.

●Call
0656 446 991

Tupo dar es Salaam Tegeta kwa ndevu darajani opposite na The one hall njia ya kwenda jeshini.

TUNANAWAKALA MIKOANI KOTE.

IMG-20230929-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom