Tunauza mizinga na makundi ya nyuki

Weka bei mzee baba
Tuchukue mizinga hiyo
Nyuki kubwa au ndogo?
Sema faster
 
Tangazo bubu. Hujaweka namba ZA simu. Wabongo huwa hampo serious kabisa na biashara
 
Hivi Unauza Mzinga Na Nyuki Unawabebaje Kuelekea Home


Weka Bei Acha Mzaha
 
kuna kitu watanzania tunakosa, kuweka bei imekua shida sana na hii ni sababu juma anaweza ambiwa mzinga laki moja, john akaambiwa laki mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…