INAUZWA Tunauza ng'ombe bora wa maziwa

huyu jamaa sidhan kama yupo serious na kitu anachofanya. nimemtafuta kama mara tatu lkn zote aliishia kunipa ahadi za kunitafuta mpaka leo kimya. nadhan ana kitu kingine anachokifanya lkn sio hii biashara aliyoitangaza hapa labda aje kuniprove wrong!!!
 

Matapeli wa JF
 
Weka maelezo zaidi tuuelewe huo ubora wake basi. Maana hapo uhlivyoandika sio kama mzalishaji wa hao ng'ombe ila ni kama dalali anayevizia mteja toka kona yoyote ili akamtafutie ng'ombe πŸ˜ƒπŸ˜ƒ

1.Wanasurvive kwenye hali ya hewa ya aina gani
2.Uzalishaji wake wa maziwa
3.Matunzo yake
4.Wanakopatikana
Nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…