BRAVO 2 ZERO
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 1,174
- 1,196
Dalali hana mtaji/ nauli za kuzungukiaSasa kwa nini huyo jamaa yako hakurudisha mrejesho kwa mhusika na kumwambia tu ukweli badala ya kupotea tu bila maelezo, halafu maelezo anakuja kukupa wewe?
Na wewe pia kwa nini haukumwambia ukweli jamaa kuwa umezidiwa na kazi kipindi hicho labda akutafute kwa mfano baada ya wiki mbili kama ikiwa bado hajapata mteja? Tatizo lenu madalali wa bongo mko so unprofessional... Sio wakweli kabisa yaani hamko honest na pia mna maneno mengi badala ya kumwambia ukweli mteja. Fanyia kazi hiyo na ujitahidi kubadilika, itakusaidia sana.
dovillenproperty
Karibu mkuu kikubwa tuelewane mengine tuwaachie wanafunzi wanaenda kujibia mitihaniKIMEFES LAMI[emoji3][emoji3]sawa
Karibu mkuu siku mambo yakikaa sawa usisite kunitafuta. Chukua no yangu hapoNapatamani sana huku aisee, bahati mbaya tu kwa sasa siwezi afford kununua kiwanja.
Sijakuelewa mkuu.. hebu fafanua hiiSquare mita 400 sio na hati ya kimila 100m?
Karibu sana mkuuLocation nzuri
Ova
Tayari mkuu, nitakutafuta ili kufahamiana zaidi.Karibu mkuu siku mambo yakikaa sawa usisite kunitafuta. Chukua no yangu hapo
Sqm ngapi hiki?Kiwanja kizuri na kama kinavyoonekana kwenye video hapa.
Bei Tsh 100m.
Maongezi zaidi wasiliana nasi
0756060183
View attachment 2275738View attachment 2275739View attachment 2275740View attachment 2275741
Bill shaka kazingatia na gharama ya jengo lilikofikia,japo uhalisia wa Hilo jengo kufikia japo mil.100 Ni mdogo mnoSqm 700 kwa sh 195m?!
Sema pia kuna gharama za kiwanja mkuuBill shaka kazingatia na gharama ya jengo lilikofikia,japo uhalisia wa Hilo jengo kufikia japo mil.100 Ni mdogo mno
Mkuu ila hili ni jengo tayari sio kiwanja tuSqm 700 kwa sh 195m?!