Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

KIWANJA KINAUZWA TEGETA MASAITI

kiwanja kipo sehemu nzuri sana na mitaa imejengeka
Kiwanja kimepimwa na kina hati
Size plot 2000 SQM
Bei Tsh 200 M
Maongezi zaidi 0756060183

 
KIWANJA KINAUZWA TEGETA MASAITI
kiwanja kipo sehemu nzuri sana na mitaa imejengeka
Kiwanja kimepimwa na kina hati
Size plot 800 SQM
Bei Tsh 80m
Maongezi zaidi 0756060183

 
HOTEL MPYA YA KISASA INAUZWA KIBAHA

Hotel Mpyaa na ya Kisasa, Ina vyumba 37 vyote Self-CONTAINED kila chumba kina AC, ina Balcon, Kila chumba TV, Inauzwa na Furniture zake. Ukubwa wa eneo ni SQUARE METER 1400, imepimwa na ina HATI MILIKI, Ipo KIBAMBA, Kilometer 1 toka Stand ya Mabasi Magufuli, ipo jirani kabisa na Morogoro Road
Bei Tsh 950m

Maongezi zaidi 0756060183.

 

Attachments

  • IMG-20220826-WA0013.jpg
    92 KB · Views: 12
Reason ya kuuza Ili tusiingie mkenge.
1.Mdaiwa wa benki?
2.Mgogoro wa familia?
3.Kubadili biashara?
4.Madeni yamezidi?
5.Uwanja una mgogoro?
6.Umiliki una mgogoro?
7.Umeamua kumrejea Mungu kwa kuachana na mkataba na shetani
8.Biashara ngumu?
9.
 
Bei ni nzuri sana...biashara njema
 
NYUMBA INAUNZWA IPO MBWENI UBUNGO BEI
MILION 300 NYUMBA
___
INAVYUMBA VI 3 VYA KULALA
VYOTE SELF
SITTINGROOM
DAINNING
KITCHEN
PUBLIC TOILET
MAJI
UMEME
AC
NYUMBA YAKISASA IPO MTAA
MZURI ULIOJENGEKA VIZURI
0756060183

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…