dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #641
Aaamen ndg yangu.Mungu akujalie ukiuze kwa haraka na Bei nzuri
Kwa niniHivi ndo aina ya viwanja ambavyo ukinunua kwa bei tajwa unashindwa hata kununua ama kufyatua matofali unabaki unakitembelea utafikili kinaumwa?
Hela kubwaKwa nini
Mliozoea kukaa mbagala viwanja laki mbili mna shida sanaHela kubwa
Tupo uchumi wa kati mzee achana na bei źa kidalali hizo tafuta ajira nyingineMliozoea kukaa mbagala viwanja laki mbili mna shida sana
Sihusiki na hilo tangazo mi niko zangu huku chatoTupo uchumi wa kati mzee achana na bei źa kidalali hizo tafuta ajira nyingine
Aliyekwambia Mbagala kiwanja laki mbili nani?? Mbona mnapenda kuishusha hadhi mbagala kiasi hiki tofauti na uhalisia wake? Hiyo Kijichi unayoiskia viwanja mpaka mil 200 iko wapi?Mliozoea kukaa mbagala viwanja laki mbili mna shida sana
Kusema kweli mbagara ni mjini asikuambie mtu aisehAliyekwambia Mbagala kiwanja laki mbili nani?? Mbona mnapenda kuishusha hadhi mbagala kiasi hiki tofauti na uhalisia wake? Hiyo Kijichi unayoiskia viwanja mpaka mil 200 iko wapi?
Karibu mkuu uone eneo,haya mengine ni marahisi kwemye maongeziNakupa 6.5M njoo PM
Rahisi sana hii ndg yanguTsh 9. 5 [emoji848]
Asante mkuu na pole sana kwa changamoto zilizojitokezaSihusiki na hilo tangazo mi niko zangu huku chato
Pamoja sana mkuu