dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,221
Kodi atakayokutana nayo atajisemea mwenyewe kiherehere kimeniponza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] kwann mkuu
Hapo kuna typing error.nadhani ulimaanisha ni sh.12m kwa hiyo crown.vinginevyo utuambie ni Zero KMGari ni mpya na ni ya mwaka 2010
Bei 22m
Maongezi zaidi 0756060183
View attachment 1878435View attachment 1878436
Ongezea pesa ili ununue ile gari ya ndoto yako. Ile VW Tuareg.Hebu niagizie mkuu maana nina 22M cash staki habari za kusema imekwama😅
Hahahahah itanichukua miaka 100 kuona hela ya nyumba nanunulia gariOngezea pesa ili ununue ile gari ya ndoto yako. Ile VW Tuareg.
Kumbe tupo wengi sanaHahahahah itanichukua miaka 100 kuona hela ya nyumba nanunulia gari
Kwenye maisha tunatofautiana sana ndgHahahahah itanichukua miaka 100 kuona hela ya nyumba nanunulia gari
Ha ha ha. 85m?? TZS au Zimbabwean Dollars?Kiwanja kipo Ununio mwanzoni tu na kina ukubwa wa 850 SQM
Kina hati
Bei Tsh. 85m
Maongezi zaidi 0756060183
View attachment 1879780View attachment 1879781View attachment 1879783
View attachment 1879782
Mkuu ukirudia kusoma hili tangazo kwa upya utaelewa zaidiHa ha ha. 85m?? TZS au Zimbabwean Dollars?
Mkuu ili ukielewe vzr ni vyema ukafika eneo la tukio. Ila kukuhakikishia tu ni kwamba maeneo haya yamepimwa na mitaa ni mizuri na mipana hivyo hapo ni viwanja 2 na kila kimoja ni 850 SQM bei Tsh 85m na unaweza kuchukua vyote jumla ya 1700 SQm kwa Tsh 170mBarabara za hayo maboma vipi. Kwa ufupi sijakielewa vizuri
Anakupanga huyo hamna lolote. Yeye Tu kaongeza cha juu Sana. Au kachukua maelekezo toka kwa dalali kama wa nne kwenye msururu. Madalali hawaendi mbinguniAaah ok .sawa
Kwa hiyo umeona uweke cha juu 50mil nzima ili mburula wakiingia king uwapige? Acha hizoMkuu bei hii ni ya kuanzia tu ila ina maongezi makubwa tu
Hizo biashara za cha juu hakuna siku hizi mkuuKwa hiyo umeona uweke cha juu 50mil nzima ili mburula wakiingia king uwapige? Acha hizo
Hapana mkuu mpaka ukiona nimeitangaza kazi hapa ujue nimekabidhiwa na mwenyewe na baadhi ya kazi napewa humu humu ndani na wadau..kwahyo kuwa na amani we njoo uone nyumba na uongee na mwenyewe utampa ofa yakoAnakupanga huyo hamna lolote. Yeye Tu kaongeza cha juu Sana. Au kachukua maelekezo toka kwa dalali kama wa nne kwenye msururu. Madalali hawaendi mbinguni
Aliye na funguo ndiye aliyekabidhiwa nyumbaMkuu bei hizi zinamaongezi na pia mwenye nyumba anaweza kumkabidhi kazi dalali yoyote na kwa wakati tofauti tofauti
Mkuuendelea kuumiza kichwa mafanikio yanakuja kwa ubunifu..hata kama ingekuwa 100,000 kama hujajipanga ni vigumu kupata faidaBiashara ya kupata faida zaid ya 500,000 per month?