dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,661
Mkuu bei ya mwenyewe hii. na ina maongezi, karibu sana na pia nina nyingine za bei pungufu kidogo.Hiyo bei ya dalali au mwenye mjengo
Karibu mkuu viwanja ninavyo uje nikuonyesheNataka iko kiwanja sio nyumba mtaniuzia bei gani
acha kutania kazi za watu. Hivi watanzania tukoje? tumelogwa?Nataka iko kiwanja sio nyumba mtaniuzia bei gani
acha kutania kazi za watu. Hivi watanzania tukoje? tumelogwa?
Afadhali siyo Mtanzania!Mimi sio mtanzania.
Hebu ngoja nichk tena na mwenyewe juu ya hiliHii nyumba instagram inauzwa 145 milion.
Tobaa [emoji849][emoji849][emoji849] . Dalali anataka kupiga 75 M [emoji2089][emoji2089][emoji2089]Hii nyumba instagram inauzwa 145 milion.
Ucheki na mwenyewe kuhusu nini? Nyie ndio mnaokimbiza wateja kwa tamaa za harakaraka. PUMBAVUHebu ngoja nichk tena na mwenyewe juu ya hili
Ya kwake hapo ni ml.160Kwenye hiyo 220 yakwako ngapi bwana dalali?
Sorry mkuu nilichanganya tangazo bei halisi ni 140m baada ya kuongea na mwenyewe tenaKwenye hiyo 220 yakwako ngapi bwana dalali?
Sorry mkuu nilichanganya tangazoYa kwake hapo ni ml.160
Hahaa haiwezekani kabisa mkuuTobaa [emoji849][emoji849][emoji849] . Dalali anataka kupiga 75 M [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Daaa nilistuka sana hiyo bei bosiSorry mkuu nilichanganya tangazo