Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Uuuzwaji wa Nyumba umeshamiri ssana wakuuu shida nini? Au kulipa madeni ya mikopo
 
we jamaa mbona picha umepiga ukiwa ndani ya gari kulikoni?
 
we jamaa mbona picha umepiga ukiwa ndani ya gari kulikoni?
[emoji23][emoji23][emoji23] ondoa hofu mkuu nyumba inauzwa na anaeuza ni mwenyewe na hakuna mkopo wala mnada.karibu sana hili la picha nitarudi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…