Hahahahahah huko wamejaa waswahili ndio maana kumezubaa zubaa 😂😂😂 inshort Kilwa Road kumekaa kushoto. Unyama ni Bagamoyo Road na Morogoro Road. Kule lazma kuendelee maana waumini wa itikadi za Mshana Jr hawakuwa wengiUkanda airport yote kitunda,kivule huko sijui gongo lamboto,chanika, pugu yaani naona vurugu tuu bila kusahau mbagala....
Ukubwa wa kiwanja?Habari Wana jukwaa
Nyumba inauzwa,
✓ ipo KITUNDA , mwanagati (wilaya ya ilala)
✓ ina vyumba vitatu (kimoja ni self)
✓ seating room, jiko na public toilet
✓ floor ni ya kawaida
✓ gypsum board
✓ parking ya gari moja
✓ maji, umeme
✓ ipo kwenye barabara ya mtaa
N.b Kutoka banana Hadi kwenye nyumba ni km 6
Bei: TSH 25m
Mawasiliano: 0785 857564
View attachment 2340093View attachment 2340095View attachment 2340096View attachment 2340097View attachment 2340098View attachment 2340100View attachment 2340101View attachment 2340103View attachment 2340106View attachment 2340107View attachment 2340108
Gheto safi sana kwa kugegedea.Habari Wana jukwaa
✓Nyumba ina chumba kimoja self contained
Seating room, open kitchen na public toilet
Full tiles, gypsums na feni (seating room na chumbani.
✓ maji na umeme unajitegemea
Mahali ilipo: nyumba ipo KITUNDA
Kutoka banana unapanda gari moja tu.
✓ kutoka stand Hadi kwenye nyumba ni mwendo wa dakika 3
Kodi: Kodi kwa mwezi ni TSH 80,000/(kuanzia miezi 3+)
Mawasiliano: 0785 857564
View attachment 2340668View attachment 2340669View attachment 2340670View attachment 2340671View attachment 2340672View attachment 2340673View attachment 2340674View attachment 2340675View attachment 2340676View attachment 2340677
Kabla ya yote ni lazima ujiridhishe kwanzaHakuna migogoro ya kifamilia au benki? maana unaweza kununua baadae ukawa unashida mahakamani tu kesi haziishi, ni dalali au mmiliki
🤣🤣🤣🤣 Nitawatafuna ila wakiona kidume upo kwenye apartment nzuri kama hiyo wanaanza kuachaga chupi na khanga zaoUwahi chief!
Hata huku warembo wapoo
Wee u amwita mwenzio wa nini zii ulishafika twende tukaenjoy gheto hilo😂😂😂
mawardat unaitwa huku
Mm naogopa kuwa single maza 🤣🤣🤣Wee u amwita mwenzio wa nini zii ulishafika twende tukaenjoy gheto hilo
Kwani kugegedana ndio mpaka mimba mrembo. Sie twagegeduana kuburudishana.Mm naogopa kuwa single maza 🤣🤣🤣
Very true mkuu ...Morogoro road na Bagamoyo road ..Pana nafasi ya kuendelea kwa harakaHahahahahah huko wamejaa waswahili ndio maana kumezubaa zubaa [emoji23][emoji23][emoji23] inshort Kilwa Road kumekaa kushoto. Unyama ni Bagamoyo Road na Morogoro Road. Kule lazma kuendelee maana waumini wa itikadi za Mshana Jr hawakuwa wengi