maufoungph
Member
- Oct 16, 2018
- 73
- 164
Wauzaji wa samaki wa maji chumvi aina zote na bei raisi tupo DAR kivukoni,tunakuletea mpaka ulipo lakini tunakusafirishia Kama upo nje ya DAR.
Nimeanza na neno wauzaji na swala la bei moja ya picha inaonyesha aina za samaki na bei zake.Kwa hiyo hawa samaki unagawa bure?
Hii hapa bossAndika bei na aina ya samaki sioni ulipoweka bei maana mimi nauza samaki lakini nawapata kwa shida ili tufanye biashara nipo mkoa wa Pwani!
Tuwasiliane boss,nitumie namba yako ya simu au yangu 0719438200Nahitaji king fish 2kg
Samaki pia kwa arusha ni maamuzi yako tutume kwa njia gani ndege au bus so siwezi kutaja gharama maana kampuni za bus utofautina na ukubwa wa mzigo.Mikoani unatuma kwa bei gani. Nipo Arusha.
Ila ni samaki au watoto wa samaki mkuu...?
Unauza juu sana hao tasi mbona 8000 tu.Hii hapa bossView attachment 1893979