INAUZWA Tunauza Vifaa Vya Jikoni (Kitchen Appliances) - Jumla na Reja Reja

INAUZWA Tunauza Vifaa Vya Jikoni (Kitchen Appliances) - Jumla na Reja Reja

Unasema unachohitaji unapewa prices mkuu vitu ni vingi sanaa. Unaweza nicheck whatsapp
Kwa namba hzo hata picha inakua rahisi kukutumia pia.

Thanks

Mkuu kwa mtindo huo na nnavyowajua watu wa JF itakupelekea kufeli mapema sana, kama umeamua kuja kjitangaza humu jukwaani kuwa tayari kutenga muda wako ukaweka picha ya kitu na bei au hata na specs kama ukiweza, ukishindwa weka picha na bei tu.

Ila ukisema kila mtu akufate WhatsApp utakuja kuamini nnachokueleza, biashara always ni matangazo japo sipo hapa kukufundisha uuze vipi biashara yako ila kaa ukijua kitu kimoja "USISUBIRI PESA IKUFATE ULIPO, JITAHIDI BY ANY MEANS UIFATE PESA ILIPO NA UICHUKUE PIA BY ANY MEANS".

NIKUTAKIE KILA LA HERI MKUU.
 
Mkuu kwa mtindo huo na nnavyowajua watu wa JF itakupelekea kufeli mapema sana, kama umeamua kuja kjitangaza humu jukwaani kuwa tayari kutenga muda wako ukaweka picha ya kitu na bei au hata na specs kama ukiweza, ukishindwa weka picha na bei tu.

Ila ukisema kila mtu akufate WhatsApp utakuja kuamini nnachokueleza, biashara always ni matangazo japo sipo hapa kukufundisha uuze vipi biashara yako ila kaa ukijua kitu kimoja "USISUBIRI PESA IKUFATE ULIPO, JITAHIDI BY ANY MEANS UIFATE PESA ILIPO NA UICHUKUE PIA BY ANY MEANS".

NIKUTAKIE KILA LA HERI MKUU.

Noted Mkuu

Nitalifanyia Kazi. Many Thanks
 
Hivi vitu vya ndani vimekuwa vingi. Waturuki wameanza kutembeza majumbani door-to-door !

Sure, hivyo bila ya kuweka mbinu za kimkakati ni nguvu sana ku-compete kwenye solo la sasa la kimtandao...!

Digital market, Smart duka, e-shop etc...!
 
Yes Boss
Tuna husika na uuzaji wa Vifaa Vya Matumizi Ya Jikoni na Majumbani Genuine / Original stuff with Waranty

1. Juice Blender
2. Juicier
3. Refridgerator & Deep Freezers
4. Microwave
5. Ovens
6. Air Conditions
7. Water Dispensors
8. Rice Cookers
9. Flat Screen TV’s

Tupo Posta Mtaa Wa Samora

Contacts

0717 100 655
0625 661 961

View attachment 1770922View attachment 1770923View attachment 1770924View attachment 1770926View attachment 1770929View attachment 1770931View attachment 1770938View attachment 1770943View attachment 1770946View attachment 1770949

View attachment 1770933
Ungeweka na bei ingependeza sana sana...
 
Ungeweka na bei ingependeza sana sana...
Ukiweka biashara online hakikisha unaweka list ya bidhaa zako ,bei, mahala ulipo, namba za simu au upload link ya kampuni yako itayokuwa na taarifa zote muhimu. Vinginevyo utapoteza muda na kuleta usumbufu na zaidi katika biashara za ushindani unakuwa umetoa mwenyewe.
 
Unasema unachohitaji unapewa prices mkuu vitu ni vingi sanaa. Unaweza nicheck whatsapp
Kwa namba hzo hata picha inakua rahisi kukutumia pia.

Thanks
Unapopita Kariakoo, au Lumumba, unayaona hayo mavitu live!!!

Sasa ikiwa mtu anayaona live yakiwa yamepangana, na hana time ya kwenda kuuliza bei, nini kitamfanya aulize hayo ya kwako, wakati ni picha tu hizo?!!

Si ajabu, mtu akiona mathalani Friji limeandikwa 500K, hapo anaweza kupata hamu ya kuuliza zaidi kwa sababu anaona kumbe inaendana na mfuko wake!!
 
Unapopita Kariakoo, au Lumumba, unayaona hayo mavitu live!!!

Sasa ikiwa mtu anayaona live yakiwa yamepangana, na hana time ya kwenda kuuliza bei, nini kitamfanya aulize hayo ya kwako, wakati ni picha tu hizo?!!

Si ajabu, mtu akiona mathalani Friji limeandikwa 500K, hapo anaweza kupata hamu ya kuuliza zaidi kwa sababu anaona kumbe inaendana na mfuko wake!!

Halafu sasa afadhali angekuwa ni New Member hapo sawa tungeweza kuelewa na kumuelewesha zaidi ila ni JF Expert Member halafu anakuja na tangazo kama hivi, nimeshindwa kuelewa aisee...!
 
Back
Top Bottom