Plot4Sale Tunauza viwanja pamoja na mashamba

Plot4Sale Tunauza viwanja pamoja na mashamba

Ine01

Member
Joined
Aug 19, 2020
Posts
30
Reaction score
52
Habari,
Je unataman kumilik ardhi na hujui utaipata wap?Karib kwetu tukusaidie update ardhi nzuri kwa bei nafuu kabisa
tunauza Viwanja na Mashamba,

VIWANJA
vipo KIGAMBONI
-kimbiji Golani (milioni 1)kwa sqm 400
-kimbiji kwa chale (beach 2)
Vinaanzia milioni 4 na laki 8
-pembemnazi - buyuni (beach 1 plot)
Vinaanzia milioni 12.5



MASHAMBA
1.wilaya ya bagamoyo(miono)

kila heka moja 400,000

Km 7 kutoka barabarani

Barabara ime chongwa

Linafaa kwa kilimo na ufugaji.

mazao yanayokubali

*mahindi
*mihogo
*nanasi
*ufuta
*Nazi
*Miembe
*korosho
*pilipili
*matikiti
NB: miono ipo mbele ya msata,ukivuka msata unaingia kulia kama unakwenda sadan


2.Bagamoyo- kidomole

Kilometa 2 kutoka barabara kubwa
Upande wa kulia


ZIPO Bagamoyo kwa mbele kama unaenda msata...

Kilometa 10 kutoka Bagamoyo Mjini

BEI NI MILIONI 1 KWA HEKA ..
Ni pm kwa mawasiliano
 

Attachments

  • IMG_20200819_101250.jpg
    IMG_20200819_101250.jpg
    58.5 KB · Views: 12
  • IMG_20200819_101232.jpg
    IMG_20200819_101232.jpg
    53.1 KB · Views: 9
Back
Top Bottom