Tunavyoteseka sasaivi na kampuni ya Precision Air

Tunavyoteseka sasaivi na kampuni ya Precision Air

kukumdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2011
Posts
2,871
Reaction score
2,762
Napenda kutoa taarifa kwamba kama mtu unataka kusafiri sasaivi usitumie huu usafiri wa precicion maana toka saa tano asubui paka sasaivi saa 10 jioni wanatutangazia kuchelewa na hawatoi huduma yeyote! Serikali fufueni kampuni yetu ya ndege ya Tanzania jamani angalieni walivyo hapa airport! Yani tunateseka na uwezo wa kurudisha hela hawana!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Wananzengo Sanctus ni muungwana sana.Na hana tamaa kama Dr.Ndodi anayelazimisha alipwe 50, 000 kabla ya kumuona halafu anakupa kitabu na dawa .
 
Fast jet hawaendi ni Arusha airport

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom