Tunawaomba DIT waweke tawi lao hapa Mwanza kwa ajili ya kujaza gesi kwenye magari yetu

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Gharama ya mafuta ya magari ni ghali sana kwa hivi sasa na nimesikia kuwa DIT wana utaalamu wa kukarabati magari na kuyawekea gesi asilimia ili itumike badala ya mafuta ya diezeli na petroli. Nimesikia utaratibu huu tayari umeanza kule Dar es Salaam na hivyo na sisi wananchi wa Mwanza tunaomba muje mfungue tawi lenu huku na sisi tupate kubadilisha magari yetu kutoka matumizi ya mafuta ya diezeli/petroli na kutumia gesi. Karibuni sana mtapata wateja wengi sana.
 
Kwa research yako fasta fasta, uhitaji wenu mpo kama wangapi?
 
Washamba nyie mtaanza kupika kwenye magari.
 
wazo zur sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…