Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
Tunawapenda na kuwakubali kwasababu hutuwajuwi!
Kuna vitu vingi vinavyoweza kukufanya umpende mtu au vitu vya mtu fulani ambaye wala humjuwi na haujawahi kuonana naye, uandishi wake kama wengine wanavyosema, jokes, uchangiaji wa hoja na mengine mengi tu
Wakati unaendelea kusoma alichoandika Blandina, unahisi furaha sana wakati huo unamCreat blandina kwenye ubongo wako (tofauti na uhalisia) unaweza kumwona mrembo sana, mrefu, maji ya kunde nk (unamtengeneza vile unavyotaka/unavyodhani) kulingana na vile utakavyomuona unajikuta uko katika hali ya Kummiss😅
Siku ukibahatika kukutana naye utastaajabu! sio kwamba ni mbaya, isipokuwa Blandina unaemjua wewe hayuko hivyo 👩🦲itakuchukua muda tena kufanya modifications
Ukitaka kusafiri kwenda Bukoba, japo hupajuwi; unaweza kuwa na furaha kutokana na sifa kadhaa ambazo umewahi kusikia kuhusu Bukoba; hivyo utajitengenezea bukoba yako akilini mwako siku ukifika bukoba yenyewe ...
Unaweza kuwa na wafuasi wengi sana kwenye majukwaa kama haya lakini ukienda kutoa hotuba usisikilizwe (ukapuuzwa) hata kama unapoint za maana, lakini kitu hichohicho ukikiweka kwenye maandishi (vitabu nk) utapata watu wengi sana
Watu wengi walimpuuza Yesu kwasababu walikuwa wakimuona hata wewe huenda huenda ungekuwa miongoni mwao!
Hawa mitume na manabii tunawakubali kwasababu tunawasoma kwenye vitabu tu (hatuwajui)
Ukimsoma mtume Paulo unamuona kama Giant fulani hivi enh💪🤣
Kila mtu anasema hakuna Nabii kwa sasa!
Je unaaminije Zamani kama walikuwepo? kwani kizazi hiki hakuna wanaotabiri??
Kuna vitu vingi vinavyoweza kukufanya umpende mtu au vitu vya mtu fulani ambaye wala humjuwi na haujawahi kuonana naye, uandishi wake kama wengine wanavyosema, jokes, uchangiaji wa hoja na mengine mengi tu
Wakati unaendelea kusoma alichoandika Blandina, unahisi furaha sana wakati huo unamCreat blandina kwenye ubongo wako (tofauti na uhalisia) unaweza kumwona mrembo sana, mrefu, maji ya kunde nk (unamtengeneza vile unavyotaka/unavyodhani) kulingana na vile utakavyomuona unajikuta uko katika hali ya Kummiss😅
Siku ukibahatika kukutana naye utastaajabu! sio kwamba ni mbaya, isipokuwa Blandina unaemjua wewe hayuko hivyo 👩🦲itakuchukua muda tena kufanya modifications
Ukitaka kusafiri kwenda Bukoba, japo hupajuwi; unaweza kuwa na furaha kutokana na sifa kadhaa ambazo umewahi kusikia kuhusu Bukoba; hivyo utajitengenezea bukoba yako akilini mwako siku ukifika bukoba yenyewe ...
Unaweza kuwa na wafuasi wengi sana kwenye majukwaa kama haya lakini ukienda kutoa hotuba usisikilizwe (ukapuuzwa) hata kama unapoint za maana, lakini kitu hichohicho ukikiweka kwenye maandishi (vitabu nk) utapata watu wengi sana
Watu wengi walimpuuza Yesu kwasababu walikuwa wakimuona hata wewe huenda huenda ungekuwa miongoni mwao!
Hawa mitume na manabii tunawakubali kwasababu tunawasoma kwenye vitabu tu (hatuwajui)
Ukimsoma mtume Paulo unamuona kama Giant fulani hivi enh💪🤣
Kila mtu anasema hakuna Nabii kwa sasa!
Je unaaminije Zamani kama walikuwepo? kwani kizazi hiki hakuna wanaotabiri??