Tunawapongeza sana ndugu zetu Morocco kwa kuweka historia ya kuwa timu ya kwanza Afrika kufika nusu fainali

Hapo vipi πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Sasa cha ajabu hapo nini?!

Waarabu, wameshangilia ushindi wa Waarabu wenzao, kama ambavyo Waafrika wanawashangilia Morocco kwa kuwaona Waafrika wenzao.

Na kama umesikiliza, utaona hata waliohojiwa maoni yao yapo hivyo hivyo!

Lakini tukirudi kwenye source yako ya kwanza, ukisoma ndani utakutana na maelezo haya...
In a comment after their surprise victory over Spain, Morocco national team coach Sofiane Boufal told international media that their win was for the Arab world.
Yaani link yako inatuambia Sofiane Boufal ni Kocha wa Morocco... cjui kawa kocha tangu lini!

Of course, mwanzoni Sofiane ali-dedicate ushindi kwa Arabs and Muslims lakini baadae akaomba msamaha kwa sababu wenzake WOTE, including Kocha, wali-dedicate ushindi kote, including Afrika!
 
Wasiliana na mh Gekui kwa ufafanuzi
Naona itapendeza zaidi kuongezea hizo "nyama" kwenye uzi wako ili uvutie wasomaji wengi zaidi, itapendeza zaidi ukimwambia muhusika akutumie na picha kabisa ili tuone maendeleo ya ujenzi wa huo uwanja.

Asante.
 
Tunaishukuru awamu ya sita kwa kufanikisha ushindi wa Morocco
 
Mtu kama ana chuki atatafuta chochote kuhalalisha chuki..Sawa na hadithi ya Yule Chui aliesema Kondoo kamkosea miaka 10 nyuma ..Kondoo akashangaa mbona ana miaka 6 Tu .miaka 10 alikuwa hajazaliwa...Chui akasema kama sio wewe basi Baba yako...
 
Mijitu yenyewe mibaguzi mno

I wonder why pipo still mnayashabikia
 
Mijitu yenyewe mibaguzi mno

I wonder why pipo still mnaishibikia after their press
Oh! My Pau Bae,

Hata sisi Miafrika Nywele Kipilipili ni mibaguzi wa kutupwa,,, fuatilia hata JF tunavyobaguana wenyewe kwa wenyewe kwa kuangalia dini na makabila yetu!!

Anyway, hilo la Press watu wamelikuza tu! Wachezaji karibu WOTE including kocha wao wali-dedicate ushindi kwa Arab World na Africa EXCEPT Mchezaji mmoja TU ambae yeye ali-dedicate ushindi kwa Arab and Muslim World!

Watu wakaacha habari za WOTE walioi-dedicate na Afrika wakaichukua ya Mtu MMOJA TU ambae hata hivyo alishaomba radhi!

Uko poa lakini?!
 
Mfalme wa Morocco alikuwa rafiki mkubwa wa Shujaa Magufuli

Tunawapongeza sana ndugu zetu Morocco kwa kuweka historia ya kuwa timu ya kwanza Africa kufika semi final ya kombe la dunia

Roho ya Shujaa Magufuli itaamanika sana

Mlale Unono!
Mafanikio ya Moroco yatasaidia africa kuingiza timu zaidi kwenye kombe lijalo la dunia, nje ya hapo hatuna kingine cha kujivunia, hayo ni mafanikio ya Morocco na sisi kama Tanzania tutafute yetu kuliko kuendelea kutafuta furaha bandia
 
Mtu kama ana chuki atatafuta chochote kuhalalisha chuki..Sawa na hadithi ya Yule Chui aliesema Kondoo kamkosea miaka 10 nyuma ..Kondoo akashangaa mbona ana miaka 6 Tu .miaka 10 alikuwa hajazaliwa...Chui akasema kama sio wewe basi Baba yako...
Watu tunapenda sana kuendekeza ubaguzi, sijui inatusaidia nini...
 
Aahhh watever,,,,,France will teach them

Uzuri hawafiki mbali
 
Mafanikio ya Moroco yatasaidia africa kuingiza timu zaidi kwenye kombe lijalo la dunia, nje ya hapo hatuna kingine cha kujivunia, hayo ni mafanikio ya Morocco na sisi kama Tanzania tutafute yetu kuliko kuendelea kutafuta furaha bandia
EXACTLY, na kwa Wajuzi wa Soka, hicho ndicho wanachofurahia kwamba tukiendeleza performance mzuri, idadi ya wawakilishi itaongezeka!!
 
Aahhh watever,,,,,France will teach them

Uzuri hawafiki mbali
Watu tunataka wafike hata fainali, na ikibidi wachukue tu kombe kwa sababu nchi za Kiafrika zikifanya vizuri, na kukawa na consistency, it means wawakilishi wa Afrika itaongezeka!1

Au wewe unataka uendelee kuiona Ufaransa tu na sio siku moja uione hadi Tanzania?!

All in all, timu yoyote ambayo inafika Nusu Fainali, tayari inakuwa imeshafika mbali... labda useme hawagusi Fainali
 
Heri wachukue hao wanaoheshimu wengine

Sio mijitu vere biased ,,,,,shortly i hate them and stop kunilazimisha niwaelewe basi


Kila mtu ashabikie anachoona kinampa furaha
 
Mfalme wa Morocco alikuwa rafiki mkubwa wa Shujaa Magufuli

Tunawapongeza sana ndugu zetu Morocco kwa kuweka historia ya kuwa timu ya kwanza Africa kufika semi final ya kombe la dunia

Roho ya Shujaa Magufuli itaamanika sana

Mlale Unono!
Watumwa wanapojikuta wanawapenda mabwana utumwa. Stockholm syndrome.
 
Watumwa wanapojikuta wanawapenda mabwana utumwa. Stockholm syndrome.
Asa rafiki angu tunawapenda hawapendeki ndo kwanza wanatukana kabisa hadharani kweli


Heri tuwashonokee wanaotuheshimu na kuheshimu shobo zetu
 
Mimi sio muslim, sio muarabu sio mmorroco


We don't have anything in common

Let me restttttt
 
U turn hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…