ze-dudu JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 17,640 Reaction score 22,748 Dec 12, 2022 #61 Micucu said: Kumbe mwaka 1987 walituma maombi ya kuwa sehemu ya europe wakagomewa??? Aloo hawa jamaa kweli hawataki kabisa kuitwa waafrika ni basi tu. Click to expand... Wangeenda tu huko ulaya mbona kombe la dunia wangeishia kulisikia tu na sio kushiriki
Micucu said: Kumbe mwaka 1987 walituma maombi ya kuwa sehemu ya europe wakagomewa??? Aloo hawa jamaa kweli hawataki kabisa kuitwa waafrika ni basi tu. Click to expand... Wangeenda tu huko ulaya mbona kombe la dunia wangeishia kulisikia tu na sio kushiriki