Tunawashukuru Kaizer Chiefs kwa Ushirikiano. Simba hatafuzu hata akisaidiwa kucheza na Mitume

Tunawashukuru Kaizer Chiefs kwa Ushirikiano. Simba hatafuzu hata akisaidiwa kucheza na Mitume

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia hapa leo.

Nipo tayari kupigwa Ban ya mwezi mzima. HAIWEZEKANI SIMBA KUFUZU HATA WALETE MIZIMU WACHEZE KUWASAIDIA, HATA WALETE MITUME. HAKUNA KITU KAMA HICHO. NDO WAMESHATOKA.
 
Ww kweli chizi toa ahadi ya ukweli.co unaruka ruka km maharage ya mbeya
 
Utopolo bana,bado mna safari ndefu kufika simba walipo..hauwezi kufanikiwa kwa kumchukia tajiri kisa wewe ni masikini..hata simba akitolewa tayari ashaweka alama ambayo africa nzima inajua nyie utopolo vipi?
 
Tatizo kubwa la simba kwa muda mrefu sasa (tangu walipoanza zile tambo zao za kuwa na kikosi kipana) ni kuingia uwanjani na matokeo yao mfukoni!

Mechi ya msimu uliopita na Yanga waliingia uwanjani kwa kujiamini sana! Lakini mwisho wa siku waliokolewa na Babu Onyango kwenye dk za lala salama!
 
Tatizo kubwa la simba kwa muda mrefu sasa (tangu walipoanza zile tambo zao za kuwa na kikosi kipana) ni kuingia uwanjani na matokeo yao mfukoni!

Mechi ya msimu uliopita na Yanga waliingia uwanjani kwa kujiamini sana! Lakini mwisho wa siku waliokolewa na Babu Onyango kwenye dk za lala salama!
Huyo babu yako onyango ndomganga wawatopolo?
 
Unachanganya wivu na umasikini utakuja kufa bila kaburi mbwa wewe😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Tatizo kubwa la simba kwa muda mrefu sasa (tangu walipoanza zile tambo zao za kuwa na kikosi kipana) ni kuingia uwanjani na matokeo yao mfukoni!

Mechi ya msimu uliopita na Yanga waliingia uwanjani kwa kujiamini sana! Lakini mwisho wa siku waliokolewa na Babu Onyango kwenye dk za lala salama!
Mumshukuru huyo huyo Onyango kwa kuwapatia penalty
 
Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia hapa leo.

Nipo tayari kupigwa Ban ya mwezi mzima. HAIWEZEKANI SIMBA KUFUZU HATA WALETE MIZIMU WACHEZE KUWASAIDIA, HATA WALETE MITUME. HAKUNA KITU KAMA HICHO. NDO WAMESHATOKA.
Wewe ni chizi bila maarifa!
 
Tatizo kubwa la simba kwa muda mrefu sasa (tangu walipoanza zile tambo zao za kuwa na kikosi kipana) ni kuingia uwanjani na matokeo yao mfukoni!

Mechi ya msimu uliopita na Yanga waliingia uwanjani kwa kujiamini sana! Lakini mwisho wa siku waliokolewa na Babu Onyango kwenye dk za lala salama!
Nani anaongoza ligi?
 
Tumeshirikiana na Kaizer Chiefs vizuri. Dawa zinafanya kazi. Waganga wetu na wao wamemaliza game. Simba leo Hatoweza kufuzu. Hata akiwaweka mitume kwenye team yake wamsiadie Simba ndo anaishia hapa leo.

Nipo tayari kupigwa Ban ya mwezi mzima. HAIWEZEKANI SIMBA KUFUZU HATA WALETE MIZIMU WACHEZE KUWASAIDIA, HATA WALETE MITUME. HAKUNA KITU KAMA HICHO. NDO WAMESHATOKA.
Kiongozi una wivu mbaya sana; Omba Mungu akusaidie;
Mafanikio ya Simba ni mafanikio ya TAIFA kwani inaweza kusaidia Nchi kupata soko kubwa la wachezaji wa Kulipwa.
Acha ushabiki wa Yanga na Simba pale kunapokuwepo na mambo ya kusaidia Taifa
Naomba utambue kuwa niliye andika hapa ni mshabiki wa Yanga
 
Back
Top Bottom