Tunawatakia kila la heri wanafunzi wetu wa darasa la saba wanao anza kufanya mitihani yao leo trh 11 Septemba, 2024

Tunawatakia kila la heri wanafunzi wetu wa darasa la saba wanao anza kufanya mitihani yao leo trh 11 Septemba, 2024

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Tunawatakia mitihani mwema. Tunaamini Wizara ya Elimu na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vita dhibiti udanganyifu usitokee. Na watakao bainika kufanya udanganyifu basi hatua kali zichukuliwe. Ni aibu kubwa kusikia udanganyifu umetokea.

Pongezi nyingi kwa waziri Prof. Mkenda kwa kuwa imara kusimamia Elimu yetu.
Nimefurahi sana kuona mabadiliko makubwa ya kimitaala, na hata kimfumo.
 
Tunawatakia mitihani mwema. Tunaamini Wizara ya Elimu na vyombo vyote vya ulinzi na usalama vita dhibiti udanganyifu usitokee. Na watakao bainika kufanya udanganyifu basi hatua kali zichukuliwe. Ni aibu kubwa kusikia udanganyifu umetokea.

Pongezi nyingi kwa waziri Prof. Mkenda kwa kuwa imara kusimamia Elimu yetu.
Nimefurahi sana kuona mabadiliko makubwa ya kimitaala, na hata kimfumo.
Kwa niaba ya Mkenda na wizara yetu nzima napokea pongezi...Asante
 
Back
Top Bottom