~*~ Tunawaudhi ~*~

kichwa cha thread kinatakiwa kuwa - - kweli kadampinzani anawaudhi ! hadi wanajionyesha live ! maskini weeeeeeee !!
 

huyo mwingine.............dreva wa saddam !
 
Sijachukia chochote wewe jaribu tu kujikosha lakini lugha hii ya Kiswahili ina wenyewe na wewe sio mojawapo kwani bado inakupiga chenga.

Ukiwa tayari rejea tuendelee na mjadala.
 
Sijachukia chochote wewe jaribu tu kujikosha lakini lugha hii ya Kiswahili ina wenyewe na wewe sio mojawapo kwani bado inakupiga chenga.

Ukiwa tayari rejea tuendelee na mjadala.

tanzania ina wenyewe na wenyewe ni walipa kodi, na wewe sio mmoja wao ! ukianza kulipa kodi tanzania unaweza kureje na mjadala !
 

Neah,

Alishadharaulika hapa kinachofanyika ni kumzungusha kama mpira vile. Nikichoka naenda kwenye benchi kunywa maji na kesho nikirudi routine ileile.

Mafisadi dawa yao ni kuwapa kile wasichopenda - udhia - na so far game plan imefanikiwa.
 
nyie niliowaudhi .....kadampinzani anakaribia kwenda ndani ya situation room, mtaniona ! so watch that out ! kama mtaudhika zaidi ...sina cha kuwasaidia !
 
Neah,

Alishadharaulika hapa kinachofanyika ni kumzungusha kama mpira vile. Nikichoka naenda kwenye benchi kunywa maji na kesho nikirudi routine ileile.

Mafisadi dawa yao ni kuwapa kile wasichopenda - udhia - na so far game plan imefanikiwa.

eti alishadharaulika.......wewe kama nani ?? mie nataka kujikosha kwa watu ? endelea tu kujikosha, unidharau, usinidharau hiyo inatoka moyoni, na kama ulizaliwa na dharau basi jua hiyo unayo tu, so as long as ulizaliwa na dharau i expect you kuwa na dharau...get it bi.saddam !

ni vizuri kusema kwamba unadharau....inanifanya nikujue zaidi.. isitoshe ulizaliwa nayo, so i know now why you say what you say !
 

Asante kwa kugundua hili!
 
jamani eeh angalau najua nimewaudhi wengi humu, lakini sina chuki na yeyote ndio maana ya demokrasia- kila mtu atoe mawazo yake anavyoona yeye ni sawa na sio kuburuzana. Kwa sasa natoka kidogo, hivyo nawatakieni mjadala mwema hadi hapo nitakaporudi tena baadae kidogo.

Najua wengine mnakula kutokana na uwepo wenu humu, lakini sio nia yangu kukata hilo bomba la neema.
Tusichukiane, tupendane, kama nimewaudhi basi pia tusichukiane, ndio maana nafikiri thread hii imeandikwa !

Peace to everyone !!
 

Kada hujaudhi yeyote yule, kama ilivyo kawaida ya JF, ukirudi utakuta wengi hapa wakiwa wamejaa tele wakichambua ufisadi wa ccm hadi pale haki kwa wanyonge wa Tanzania itakapopatikana.

Karibu tena!
 
Kada hujaudhi yeyote yule, kama ilivyo kawaida ya JF, ukirudi utakuta wengi hapa wakiwa wamejaa tele wakichambua ufisadi wa ccm hadi pale haki kwa wanyonge wa Tanzania itakapopatikana.

Karibu tena!

nafsi yako ngumu kukubali, lakini rohoni unajua wewe na wengine mliudhika! without forgetting kwamba umezaliwa na dharau kama ulivyosema hapo awali !
 

Angalau umesema ukweli huu kwani wengine wasingekuelewa, unasema lile ambalo unalifanya na kulitegemea. Pole sana mkuu siku zote jua huchomoza na kuaga magharibi.
 
Angalau umesema ukweli huu kwani wengine wasingekuelewa, unasema lile ambalo unalifanya na kulitegemea. Pole sana mkuu siku zote jua huchomoza na kuaga magharibi.

wengine mnakula.....na sio wengine tunakula.......

elewa kiswahili vizuri zaidi, sio lazima kiwe fasaha, lakini elewa vizuri zaidi

then niletee hiyo namba ya ulipaji kodi uliyosema utanipa !

**DUA - - umekuwa mpambe wa saddam hussein ??
 
sijakebehi, ila ninachosema ni kwamba, yooote aliyogusia HAMNA JIPYA, na kama unaandika kitu basi lazima uwe AIM ya kuandika, hadi hivi sasa sijaona chochote kipya, na kama solutions nadhani zilishatolewa before katika threads husika !

asante !

wewe kadaM, watu tutaendelea kuimba nyimbo hiyo hiyo mpaka isikike kona zote za dunia. usipo rudia itasahaulika. Naamia nia yako ni kwa haya mashairi yasisikike kote. If am wrong and you do have any other alternative/ contructing ideas then start a new thread ujieleze. Lakini haya mashairi bado ni moto, nayaitaji kuendelea kuimbwa nawatakaoudhika wajinyonge!!!
 

hongera ! harusi lini ?
 
hongera ! harusi lini ?

....Precisely, you cant hold a constructive conversation, unarusha tu maneno. You are either mad, shule ilikushinda or bado unaakili za kitoto. Again i say, if i have judge you wrongly, prove your self otherwise.
 
....Precisely, you cant hold a constructive conversation, unarusha tu maneno. You are either mad, shule ilikushinda or bado unaakili za kitoto. Again i say, if i have judge you wrongly, prove your self otherwise.

ok, basi haya na wewe ushakuwa femasi humu jf ! hongera !

sikuona cha kukujibu ! anyway tutaonana mbele ya safari !
'afu ndo kusema hujui kiswahili au......?
 
hizi zote ni kelele za mlango tu, wapinzani hawatamzuia Kikwete asifanye kazi yake. Hata kama magazeti yote yakiandika hizi habari lakini bado Kikwete hakosi usingizi kwa haya. Msijidanganye.

Kidumu chama cha mapinduzi.
 
hizi zote ni kelele za mlango tu, wapinzani hawatamzuia Kikwete asifanye kazi yake. Hata kama magazeti yote yakiandika hizi habari lakini bado Kikwete hakosi usingizi kwa haya. Msijidanganye.

Kidumu chama cha mapinduzi.

tic tac ! tic tac ! tupo pamoja mkuu ! enough said ! Mheshimiwa Rais bado anaendelea kuchapa kazi, wao wanataka walete propaganda zao hapa na kutaka JK asifanye kazi, lakini wapi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…