~*~ Tunawaudhi ~*~



tic tac ! tic tac ! tupo pamoja mkuu ! enough said ! Mheshimiwa Rais bado anaendelea kuchapa kazi, wao wanataka walete propaganda zao hapa na kutaka JK asifanye kazi, lakini wapi !

ccm tutatawala hadi kiama. wapinzani wale nyembe kama wana hasira.
 

Naona leo wameudhika hadi wamekuja kujaza forum hapa lakini huu watashindwa tu.
 
Naona leo wameudhika hadi wamekuja kujaza forum hapa lakini huu watashindwa tu.

Kuudhika? njaa na wivu tu unawasumbua,

wewe ulidhani kuwa wana chadema ndio pekee mtajazana hapa na kuishambulia ccm kila siku? sasa tumejipanga na karibuni mtapotea kabisaa hapa na hamtaonekana.

Tuliwaachia mkaanza kupanda vichwa sasa.
 

Mkjj, Ahsante sana kwa article hii nzuri sana. Nakuomba uisambaze hii article katika magazeti yote ya Kiswahili ya Tanzania kama vile Tanzania Daima, Raia Mwema, Mwananchi, Mwanahalisi na mengine ambayo yatakuwa tayari kuiweka article hii katika magazeti yao ili Watanzania wengine nao wapate nafasi ya kuisoma.

Mimi niko tayari kupambana katika vita hii ili kuhakikisha tunawatokomeza mafisadi kwa maslahi yetu na yavizazi vyetu vijavyo. Tukifanikiwa kuwashinda mafisadi basi kutakuwa hakuna kipingamizi cha kuhakikisha utajiri wetu mkubwa tulionao unatumika kwa maslahi ya Watanzania wote ukilinganisha na sasa ambapo utajiri huo unawanufaisha mafisadi wachache ambao hawafikii hata 1,000 katika nchi ya watu 40 millioni

Kwa mara nyingine tena, ahsante sana.
 
wana chadema hadi mnatia huruma saaasa. speech ndefu na hakuna kitu. Ccm imekuja kufight back.
 
kwi kwi kwi,

huyu kweli ni bi saddam husein.
Mkuu umewakomesha hadi wametokomea kabisa?

tutammwagia maua, na kumuwekea kapeti jekundu si unajua ili bi. saddam afurahi maana saddam mwenyewe akikasrika, tumekwisha !
 
Kuudhika? njaa na wivu tu unawasumbua,

wewe ulidhani kuwa wana chadema ndio pekee mtajazana hapa na kuishambulia ccm kila siku? sasa tumejipanga na karibuni mtapotea kabisaa hapa na hamtaonekana.

Tuliwaachia mkaanza kupanda vichwa sasa.

sifa zilizidi propaganda ! now they get to taste some of what they were doing !
 
na mulicholeta ni kipi zaidi ya pumba tu na ufisadi?

maskini weee !! dreva wa saddam huyooooo.............kamlete basi na bi. saddam ! tutawamwagia maua, na kuwaimbia nyimbo nzuri ili saddam afurahi ! bila ya kusahau makofi !
 
Swali ni kuwa Tanzania hii tutaiinua kivipi ilihali mfumo uliopo umeoza. Na uoga umezigubika nyoyo za watu kiasi kwamba hata imani zao zimeathirika. Mzee Mwanakijiji aweza kuwa tayari je na wengine? Tupo ambao tunafurahi kutoa post zetu au thread lakini ule utayari ni mdogo hatuko kama wenzetu wakenya tumebaki kulaumiana na kunyoosheana vidole. ADA YA MJA HUNENA MUUNGWANA NI KITENDO
 
Mkuu Kada mchukia maendeleo

Hivi ni lazima kila thread uchangie? Hivi kwanini wakati mwingine usikae kimya?
 
Kada mpinzani ! unanikumbusha hadithi moja ya zamani sana kuwa kila mtu anatabia yake ya kuzaliwa/kurithi nk mathalani hata ukimchumkua mtoto wa haranu ukamficha katika chupa atajitahidi tu angalau atoe kidole juu ili tu aonekane kuwa yeye ni mwana haram!
 
Na bado wataudhika mpaka wajigundue kuwa wapo uchi ili wavae nguo
 
Na bado wataudhika mpaka wajigundue kuwa wapo uchi ili wavae nguo

Wamenona sana hawa kama wale wapiganaji wa Sumo, hivyo kutembea msamba wazi na tumbo wazi ni Ruksa! hakuna nguo zitakazo watosha. Watadai zitengenezwe kwa nyuzi za dhahabu na almasi!

Hawajioni wako uchi, hawana haya au soni, wameshazoea wanataka nasi tuzoee...
 

Unanikumbusha story ya VAZI la MFALME....

Itabidi watafutwe washonaji kutoka ng'ambo ya mbali kuwa kuwaandalia mavazi yao ya ajabu...

Na akili zao nahisi hazijasetiriwa
 
Ningekuwa Mtawala ningependa upinzani wenye nguvu....nisingeponda upinzani.....
Sababu nia yangu ya kwanza isingekua ni kutawala tu, nia ya kwanza ingekua kuwapatia watz kilicho bora...na upinzani unavyozidi kuwa na nguvu ingenisaidia kuondoa uzembe, jeuri na dharau katika mfumo wangu wa utawala.....kisha watz wangepata wanachostahili....
Ningekuwa mtawala ningesaidia upinzani kupata nguvu zaidi.... Yes! Upinzani wenye nguvu ni faraja kwa watz!
 
sijakebehi, ila ninachosema ni kwamba, yooote aliyogusia HAMNA JIPYA, na kama unaandika kitu basi lazima uwe AIM ya kuandika, hadi hivi sasa sijaona chochote kipya, na kama solutions nadhani zilishatolewa before katika threads husika !

asante !

kama wewe ni muislam huwa unakwenda msikitini kufanya nini wakati Quran imeandikwa zaidi ya miaka 1500 iliyopita kuna jipya kwenye Quran? Na kama wewe ni Mkristo huwa unakwenda Kanisani kufanya nini wakati yesu alishapaa kwenda mbinguni zaidi ya miaka 2000 iliyopita, lipi jipya unalolifuata au kulitafuta kanisani? Tuache unafiki kila maslahi ya mafisadi yanapoguswa kwa kujifanya hakuna "jipya!
 

unajua mkuu umeongea point tupu ! Lakini kwa kuwa wengi humu hawataki kuangalia au kukubali points zinazoongelewa, wanashindwa hata kukusupport na unachosema, lakini wengi wanachojua ni kada akipakwa basi wanakimbilia kutoa thanks na unafiki wao utadhani kama hiyo itasaidia kujenga tanzania !

anyway usikate jamaa ndio jf hiyo !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…