~*~ Tunawaudhi ~*~


is it even worth it me answering you ? NO, it aint !
 
Kuna wanufaika wa ufisadi humu, hivyo tegemea lolote la kuspeculate kutoka kwao.....
 
Kuna wanufaika wa ufisadi humu, hivyo tegemea lolote la kuspeculate kutoka kwao.....

kama wapo, basi nao ni mafisadi vile vile.... Mzee Msanii nafikiri ukianza kuwataja itakuwa vizuri sana kwa taifa ili tuone hiyo link inaanza wapi na kuishia wapi, kuanzia kwa wanaochezesha huo ufisadi hadi kwa hao wanaonufaika nao.!

Shukrani !
 
kwi kwi kwi,

huyu kweli ni bi saddam husein.
Mkuu umewakomesha hadi wametokomea kabisa?

nimeipenda signature yao "tumpe kikwete hadi 2010 asafishe chama! kweli ukistaajabu ya firauni utaona ya Joji Kichaka, hivi hcho chama kinawahusu nini watanzania wasio wanachama wake? kwa nini asisafishe serikali yake iliyojaa mafisadi? Yesu Kristo aliwahi kusema "Mtawatambua kwa matendo yao"
 
Sawa mkuu.Maudhui yanatiririka vizuri, ila nadhani tunyooshe lugha sehemu ndogo sana kuhusu neno "aidha".Wataalamu wa BAKITA watusaidie.Neno hili lina maana ya "vilevile" au "pia";sio kama kwenye kiingereza ...either...or...
Sisi tuseme,"ama......au....."
 
sijakebehi, ila ninachosema ni kwamba, yooote aliyogusia HAMNA JIPYA, na kama unaandika kitu basi lazima uwe AIM ya kuandika, hadi hivi sasa sijaona chochote kipya, na kama solutions nadhani zilishatolewa before katika threads husika !

asante !

Kada Mpinzani na wewe ni CHARACTER NGUMU KIKWELIKWELI, hongera kwa kusimama kama usimamavyo
 
me i think tunawafurahisha sana ndo maana hawajachukua any necessary step.kinyume na hilo..........THEY WOULD HAVE SILENCED US
 
me i think tunawafurahisha sana ndo maana hawajachukua any necessary step.kinyume na hilo..........THEY WOULD HAVE SILENCED US

may be they are trying but they can't.. or they will when they so choose!
 
may be they are trying but they can't.. or they will when they so choose!
I AM NOT CERTAIN as to whether 'they can't',i am sure THEY LOVE OUR SONG!...they need to hear it AGAIN AND AGAIN AND AGAIN
 
We are just not doing enough hizi ni sawa na kupiga risasi hewani kumshtua adui au kumwogopesha hakuna kitu 'physical' kilichofanyika na tukafanikiwa ktk kuondoa uharamia huu wa mali zetu. Mi naungana na Geoff kuwa wanatuenjoy wakijua kuwa kelele zetu hazina madhara iwapo tu wkichoose kukaa kimya
 

Inaelekea mimi na wewe tupo jukwaa moja ila nipo behind you for almost 2 years
 
nothing new ! yooooote yameongelewa kwenye threads lukuki humu, whats new ? NOTHING.... sasa propaganda kama kawaida ! haya wazee msifieni saddam hussein huyoooooooooooooo.....anakuja ! muimbieni nyimbo nzuri nzuri na mumtupie maua ili afurahi !

Nadhani hauko tayari kama sikosei ni moja ya watu ambao WANAUDHIKA.
 
ndio nipe info zote ! NIHAKIKISHE ! pesa yako ya box sina haja nayo ! lete ma-info hayo watu tumeki shua kama unalipa kodi, kama hulipi basi argument yako mdebwedo !

usiponipa hizo namba/info NAWE FISADI PIA !

We jamaa una matatizi hivi wote humu wapo ughaibuni? mbona mimi nipo Bongo? nsio mimi tu nazani wengi tupo bongo pia, Hivi unajua maana ya VAT? na kama unajua VAT kweli kuna mtu asiye lipa kodi nchi hii?
 

Sikujua kuwa hi mada inawahusu viongozi? kumbe? mimi nilijua inawahusu MAFISADI. Kumbe MAFISADI = VIONGOZI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…