nothing new ! yooooote yameongelewa kwenye threads lukuki humu, whats new ? NOTHING.... sasa propaganda kama kawaida ! haya wazee msifieni saddam hussein huyoooooooooooooo.....anakuja ! muimbieni nyimbo nzuri nzuri na mumtupie maua ili afurahi !
wee unalipa kodi wapi ?? wangapi humu jf mnalipa kodi tanzania ??
Najua mimi niko tayari! sijui wewe.. lakini huko tunakokwenda, ni wale walio tayari kusimama peke yao na pweke ndio wataliinua Taifa letu na kulifanya liwe jinsi ile tulitamanivyo liwe! Stand up and be counted otherwise sit down and be forgotten!
Kada mpinzani alikufa tukamzika na kesho yake akafufuka kama kanda mbili😀Duh nimecheka sana. Jamani hivi Kadampinzani katorokea wapi? Kada kama upo ni PM tupige ma-story kidogo. Khe khe kheeeee.
Kada mpinzani alikufa tukamzika na kesho yake akafufuka kama kanda mbili😀