Hakunawa kuitoa CCM Narudia Tena HAKUNA.
ikiwa watu wanaamini Barabara na ndege ni kazi ya ccm na CCM ni chama chao cha wanyonge.
Wapinzani tafuteni kazi nyingine tu ama mjiunge CCM.
Akina mdee wameshalijua ilo, utakufa, fungwa ama kukimbia nchi kwa ajili ya wapumbavu.