Thadei Ole Mushi
R I P
- Oct 13, 2018
- 35
- 260
Na Thadei Ole Mushi.
Tukiweza tuangalie upya utaratibu wa Mbio za Mwenge. Sio kila kitu kilichoanzishwa na wazee wetu kinakuwa na tija wakati wote.
Katika kipindi hiki Corona ikiwa inatikisa Dunia ni vyema tukapunguza Mikusanyiko. Fikiria Mwenge huu utapita kila Mkoa na kila Wilaya na kutakuwa na mikesha karibia kila Mkoa.
Cha pili gharama za kuukimbiza tungeweza kusema tumalizane na issue ya madawati mashuleni kabisa ingeleta tija kuliko kupoteza Fedha hizi kwa ajili ya mafuta ya magari, posho nk.
Kama issue ni mwenge kukagua Miradi ya Maendeleo nafikiri Tamisemi inatosha kwa waziri na manaibu waziri... Nafikiri wakuu wa mikoa, Wilaya na wakurugenzi wapo site kila siku. Hii Kazi ya kuzindua Miradi kwa Mwenge haina tija Sana.
Tunaweza kupunguza Gharama kwa kuwa na maadhimisho ya siku Moja unawashwa Tena Kilimanjaro ambako ndilo ulikotakiwa uwekwe kwenye Mlima tusome kauli Mbiu yake na watu watawanyike.
Katika nchi ambayo hatuwezi kuongeza Mishahara ya watumishi, tuna Miradi kibao inayohitaji Fedha sioni umuhimu wa kupoteza Fedha hizi kwenye kuukimbiza Mwenge.
Ole Mushi
0712702602
Tukiweza tuangalie upya utaratibu wa Mbio za Mwenge. Sio kila kitu kilichoanzishwa na wazee wetu kinakuwa na tija wakati wote.
Katika kipindi hiki Corona ikiwa inatikisa Dunia ni vyema tukapunguza Mikusanyiko. Fikiria Mwenge huu utapita kila Mkoa na kila Wilaya na kutakuwa na mikesha karibia kila Mkoa.
Cha pili gharama za kuukimbiza tungeweza kusema tumalizane na issue ya madawati mashuleni kabisa ingeleta tija kuliko kupoteza Fedha hizi kwa ajili ya mafuta ya magari, posho nk.
Kama issue ni mwenge kukagua Miradi ya Maendeleo nafikiri Tamisemi inatosha kwa waziri na manaibu waziri... Nafikiri wakuu wa mikoa, Wilaya na wakurugenzi wapo site kila siku. Hii Kazi ya kuzindua Miradi kwa Mwenge haina tija Sana.
Tunaweza kupunguza Gharama kwa kuwa na maadhimisho ya siku Moja unawashwa Tena Kilimanjaro ambako ndilo ulikotakiwa uwekwe kwenye Mlima tusome kauli Mbiu yake na watu watawanyike.
Katika nchi ambayo hatuwezi kuongeza Mishahara ya watumishi, tuna Miradi kibao inayohitaji Fedha sioni umuhimu wa kupoteza Fedha hizi kwenye kuukimbiza Mwenge.
Ole Mushi
0712702602