technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Njia bora ya kuondoa ombe na uongozi nchini hasa kwa Viongozi wa CCM ni kuhakikisha katiba Bora inapatika.
Uchaguzi ambao ni huru na haki (transparent election) (free and fare)unafanyika na mshindi halali anatangazwa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla!!
Sheria za nchi zinafuatwa na kila mtu kuanzia aliyekalia kiti mpaka ngazi ya shina
Vinginevyo mtaendele kufa na kufia madarakani maana mnaongoza serikali za kishetani na shetani sadaka yake ni damu
Mtaendelea kulana vichwa mpaka pale mtakapojuwa kuwa Taifa la Tanzania ni Taifa la Mungu ndio maana hautakaa usikie Vita ya ndani.
Mungu ataamua ugomvi mpaka pale mtakapokubali ukweli wa anachokitaka Mungu ni kufuata sauti ya wengi ambayo sauti ya wengi ni sauti ya Mungu mwenyewe!!
Endeleeni kushupaza shingo sisi tunaanda tu majembe na makoleo!!
Uchaguzi ambao ni huru na haki (transparent election) (free and fare)unafanyika na mshindi halali anatangazwa ndani ya ccm na nchi kwa ujumla!!
Sheria za nchi zinafuatwa na kila mtu kuanzia aliyekalia kiti mpaka ngazi ya shina
Vinginevyo mtaendele kufa na kufia madarakani maana mnaongoza serikali za kishetani na shetani sadaka yake ni damu
Mtaendelea kulana vichwa mpaka pale mtakapojuwa kuwa Taifa la Tanzania ni Taifa la Mungu ndio maana hautakaa usikie Vita ya ndani.
Mungu ataamua ugomvi mpaka pale mtakapokubali ukweli wa anachokitaka Mungu ni kufuata sauti ya wengi ambayo sauti ya wengi ni sauti ya Mungu mwenyewe!!
Endeleeni kushupaza shingo sisi tunaanda tu majembe na makoleo!!