Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Sisi wenyewe watanzania hasa ninaowalenga wamiliki wa maabara na maduka ya dawa. Hawa watu wanaushirikiano na wanacheza faulo sana yani unakuta mtu wa duka la dawa ye anauza dawa na hata muda kuhoji kama mhitaji wa dawa amepima na kupewa maelezo ya dokta ilimradi kataja jina la dawa anahudumiwa.
Shida zaidi inakuja kwa mtu wa maabara wengi si waaminifu wao wanapima mkojo na kusema ni UTI hata kama ni dalili tu zimefanana wakati unampa maelezo ya awali.
Sasa kwa hali hii tunachangia miili kuwa sugu dhidi ya kusikia dawa na kuwajaza sumu ktk miili yao kwakuwa dawa anazopewa haziendani na tatizo hivi ndiyo tunauwana wenyewe taratibu.Ni vema wahusika ktk sekta hizi wawe makini afya ni mtaji.
Shida zaidi inakuja kwa mtu wa maabara wengi si waaminifu wao wanapima mkojo na kusema ni UTI hata kama ni dalili tu zimefanana wakati unampa maelezo ya awali.
Sasa kwa hali hii tunachangia miili kuwa sugu dhidi ya kusikia dawa na kuwajaza sumu ktk miili yao kwakuwa dawa anazopewa haziendani na tatizo hivi ndiyo tunauwana wenyewe taratibu.Ni vema wahusika ktk sekta hizi wawe makini afya ni mtaji.