Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
Habari ni wauza thembeHongera Diamond, japo issue ya tuzo siku hizi si habari kabisa.
Mbona Alikiba hujampost? ?Diamond platnumz ashinda tuzo za
Hipipo Awards 2017.
Ameshinda categories mbili
1.QUINQUENNIAL AFRICA MUSIC VANGUARD AWARD (2012-2016)
2.BEST VIDEO EAST AFRICA-SALOME.
Si habari, yaani haishtui kwasababu ameshazichukua sana. Nadhani tumeelewana.Habari ni wauza thembe
Kwanini usimpost wewe?Mbona Alikiba hujampost? ?
Sababu ni mtanzania na ni yeye na Diamond ndio waliochukua tuzo toka nje ya Tanzania au una maoni gani na sababu zipi umeamua kuniuliza hivi naomba unijibu? ?Kwanini usimpost wewe?
Na kama ni tuzo Hata Alikiba mwaka jana kachukua tuzo karibia zote pia sio habari mpya pia dada yanguSi habari, yaani haishtui kwasababu ameshazichukua sana. Nadhani tumeelewana.
Kwakuwa ni mtanzania na wewe ni mtanzania unaonaje ukimfungulia wewe uzi kuliko kumlazimisha mtanzania mwingine ambaye hajaona umuhimu wakufanya hivyo.Sababu ni mtanzania na ni yeye na Diamond ndio waliochukua tuzo toka nje ya Tanzania au una maoni gani na sababu zipi umeamua kuniuliza hivi naomba unijibu? ?