Tunazidi kuchanja mbuga Hipipo awards 2017 nyie baki na cocein na heroin-Diamond is the winner.

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
Diamond platnumz ashinda tuzo za
Hipipo Awards 2017.
Ameshinda categories mbili
1.QUINQUENNIAL AFRICA MUSIC VANGUARD AWARD (2012-2016)
2.BEST VIDEO EAST AFRICA-SALOME.
 
Sababu ni mtanzania na ni yeye na Diamond ndio waliochukua tuzo toka nje ya Tanzania au una maoni gani na sababu zipi umeamua kuniuliza hivi naomba unijibu? ?
Kwakuwa ni mtanzania na wewe ni mtanzania unaonaje ukimfungulia wewe uzi kuliko kumlazimisha mtanzania mwingine ambaye hajaona umuhimu wakufanya hivyo.
 
Mtoa threa hii jiangalie asee kwa uongo wako, alikiba mbili kachukua katika vipengele alivokuwa anawania,na diamond kachukua tuzo moja katik vipengele vi NNE alivokwa amepangiwa kuwa makini acha kudangny wtu ktk iz tuzo za hip hop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…