federicofernandez
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 578
- 392
Hacha kufatiria maisha ya watu, fanya yakoNaona picha zake znyingi anapiga akiwa anakula au yupo kwenye mijumba ya kifahari
Hizi nyumba ni zake au kwao kwel?
Au ndio kick?! Au ndio anauza papuchiView attachment 403396
Jifunze kuandik kwanza ndio ucomment pumbazakoHacha kufatiria maisha ya watu, fanya yako
Unataka kufaham kazi ya Tunda ikusaidie nin?Kama imekukera pita kushoto sio lazma ukoment
Naona picha zake znyingi anapiga akiwa anakula au yupo kwenye mijumba ya kifahari
Hizi nyumba ni zake au kwao kwel?
Au ndio kick?! Au ndio anauza papuchiView attachment 403396
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama imekukera pita kushoto sio lazma ukoment
Word!!!Saivi Malaya anaekaa kona bar au Ohio au kinondoni ni lofa tu .
Mambo yote instagram .
Ukiwa ni demu una kasura labda kazuri au una chura anayenesanesa
Ama una rangi ya mtume( courtesy by lemutuz)
Basi zitumie vizuri social media kwa hakika hutokuwa masikini
Ndo vidada vingi siku vinatumia hiyo fursa na wenye pesa wanachangamkia hasa katika hali hii mbaya ya uchumi Wa uncle magu.
Unaweza kuwaita Certified Online Hookers(COH)
Wako undercover huwezi kujua ila wenye akili ya kujua wameshang'amua.
Me I love it U know.
Kuna mwenye tatizo huko[emoji3]