TUNDA: Casto ukome kunifuatilia. Ukiachwa achika

TUNDA: Casto ukome kunifuatilia. Ukiachwa achika

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Tunda hataki mazoea kabisa na vijitu vya ajabu ajabu, na amedhihirisha hilo kwa kumtamkia maneno makali kwa aliyekuwa mpenzi wake Casto Dickson kwamba akome kumfuatilia na ajue kuachwa sio kila kukicha kumzungumzia mara tunda hivi mara tunda vile inachosha pia inaboa.


Na kwa hili kwa kweli ninamuunga mkono Tunda, yule jamaa Casto hawezi kumgharamikia mtoto mzuri kama Tunda na vihela vyake vile vya kuunga unga alikuwa anamtia mikosi tu.


Tunda ni msichana expensive sana pia bado ni mdogo ukijumlisha na uzuri ndio kabisaaaaa na kiukweli walikuwa hawapendezani hata kidogo kudate na Casto , bora hata kipindi kile Tunda alipokuwa anadate na Kinjikitile Ngombale Mwilu.


20181113_002345.jpeg
 
Wanawake bhana,uyo nae casto si achanenae tu..


Na kwa hili kwa kweli ninamuunga mkono Tunda, yule jamaa Casto hawezi kumgharamikia mtoto mzuri kama Tunda na vihela vyake vile vya kuunga unga alikuwa anamtia mikosi tu.


Tunda ni msichana expensive sana pia bado ni mdogo ukijumlisha na uzuri ndio kabisaaaaa na kiukweli walikuwa hawapendezani hata kidogo kudate na Casto , bora hata kipindi kile Tunda alipokuwa anadate na Kinjikitile Ngombale Mwilu.


View attachment 931615[/QUOTE]
 
binafsi nimeshangaa,mbona wa kawaida saana.
usiombe umwone live😀 kuna siku nilikutana nae aisee nilishangaa sana.ni kituko alafu not so cute hizi ni 360 app edited photos ndo zinawachanganya watu ila ni wa kawaida sana
 
usiombe umwone live😀 kuna siku nilikutana nae aisee nilishangaa sana.ni kituko alafu not so cute hizi ni 360 app edited photos ndo zinawachanganya watu ila ni wa kawaida sana
Mimi hata akitumia 78580 app kuedit, sijawahi uona uzuri wa huyu msichana, wana 'ovareti' sana.
 
Hivi vitu kama hii post ndo watu wanapenda. Zile za aina zangu unajichosha, unaandika na kuresearch lakn response is equal to zero.
ahaha usikate tamaa Ndugu yangu endelea kuleta sisi tupo pamoja nawe,japo mara moja kwa mwezi.
 
These celebrities are trying to lift themselves up through social media, fools and few groups of certain celebrities always argue and fight among themselves through comments. UJINGA TUU
 
Back
Top Bottom