Tunda Man hakupata ajali, kwanini aliongopa?

Hao walioandaa hii habari wameshindwa vipi kuwatafuta wale waliokuwa kwenye lile Gari lingine nao waseme kilichotokea?

Hao Madensa wanaotajwa kuwepo kwenye msafara si wapo hapo hapo Dar?
 
Lengo la tunda cjui ni nini mpaka sasa, hivi kwani angesema tu hakuwepo shida ingekuwa nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…