Dodoma one JF-Expert Member Joined Apr 23, 2012 Posts 326 Reaction score 29 Apr 28, 2016 #21 Tunda kasema uongo hapo
FYATU JF-Expert Member Joined Dec 7, 2011 Posts 5,567 Reaction score 4,683 Apr 28, 2016 #22 Hao walioandaa hii habari wameshindwa vipi kuwatafuta wale waliokuwa kwenye lile Gari lingine nao waseme kilichotokea? Hao Madensa wanaotajwa kuwepo kwenye msafara si wapo hapo hapo Dar?
Hao walioandaa hii habari wameshindwa vipi kuwatafuta wale waliokuwa kwenye lile Gari lingine nao waseme kilichotokea? Hao Madensa wanaotajwa kuwepo kwenye msafara si wapo hapo hapo Dar?
M mchajikobe JF-Expert Member Joined Aug 14, 2009 Posts 2,661 Reaction score 1,267 Apr 28, 2016 #23 Robot la Matope said: Hizi ni person attacks. Weka 7bu za kutwaminisha Click to expand... Kweli hata mimi niliona clip ya hao walionusurika walikuwa wanasema hawakuwa na tunda man
Robot la Matope said: Hizi ni person attacks. Weka 7bu za kutwaminisha Click to expand... Kweli hata mimi niliona clip ya hao walionusurika walikuwa wanasema hawakuwa na tunda man
chilundu JF-Expert Member Joined Sep 28, 2013 Posts 347 Reaction score 226 Apr 28, 2016 #24 Mwe huyu tunda man
Bigbootylover JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 2,847 Reaction score 1,828 Apr 28, 2016 #25 Lengo la tunda cjui ni nini mpaka sasa, hivi kwani angesema tu hakuwepo shida ingekuwa nn
Dotto C. Rangimoto JF-Expert Member Joined Nov 22, 2012 Posts 1,985 Reaction score 1,286 Apr 29, 2016 Thread starter #26 Bigbootylover said: Lengo la tunda cjui ni nini mpaka sasa, hivi kwani angesema tu hakuwepo shida ingekuwa nn Click to expand... alitaka cjui michango toka kwa wasanii, lkn pia vitu vya marehemu vimeibiwa na vimekutwa ktk gari ya Tunda
Bigbootylover said: Lengo la tunda cjui ni nini mpaka sasa, hivi kwani angesema tu hakuwepo shida ingekuwa nn Click to expand... alitaka cjui michango toka kwa wasanii, lkn pia vitu vya marehemu vimeibiwa na vimekutwa ktk gari ya Tunda