Tunda Man msanii wa bongo flevour ambaye hapewi heshima yake.

Manofu

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2018
Posts
1,317
Reaction score
2,020
To be honest kuna watu mpaka wafe ndo utasikia flani alikuwa anajuwa sana kuimba. Akisha kufa sifa zake ndo zitasambaa mpaka utajiuliza walikuwa wapi kuaappreciate machango wake akiwa bado yupo hai.

Kwa wenzangu na mm ambao kwa namna moja ama nyingine tumekuwa tukisikiliza mziki wa bongo kila mutu anafahamu jamaa alivyo fundi wa sauti asa akiwa anaimba utafikili analalamika. Kuna kipindi flan wakati wa Tip Top wakiimba basi chorus alikuwa akizitendea haki sana. Lets give the man the price he deserve b4 is to late.
 
Mwambie ajitangaze.. **** njia nyingi za kujitoa bila kukaa chini na kusubiri wananchi wakusakr.. ila sio za sijui kutoka na huyu sijui kesho yule.. naaaaah
 
Nakubal ngoma zake 3
1 pesa
2 goma la manzese
3starehe gharama
4 nipe riport
Zilizobaki aliimba tu
 
Siijui ebu imba kidogo laba naweza kuijua
Tumia bundle lako vzr basi mkuu. Jina la wimbo nimekupa, msanii unamjuwa kwa nini usiingie YouTube?
 
Wapenzi wa muziki wa kulialia huyu ndio msanii wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…