Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Fenesi haliliwi bila mafuta, lazima upake mikono mafuta Ili lilile vizuri. Wabishi wanakula bila kupaka mikono mafuta Na wanadai utamu WA fenesi Ni Utomvu. Tunda hili halioshwi Na Utamu wake ni pale unapolamba mikono….
Bungo kiutaalamu lazima ulitie kidole ndio uliweke mdomoni. Likiwa mdomoni raha yake limumunywe taratibu mpaka utamu uishe. Wajuvi huwa hawali bila chumvi, huwa linatiwa chumvi kisha linatiwa kidole wanalikoroga na kidole mwisho wanalimumunya. Utamu wake unakilea pale unapolamba kidole…
Embe dodo kiutaalamu huliwa kwa kunyonywa, lazima ulishikilie na mkono mmoja kisha ulinyonye mpaka kokwa. Wataalamu wanaolijua vizuri huwa wanaliita embe Ng’ong’o na wanalila likiwa limeiva ila wabishi wananyonya hata likiwa bichi, litaivia tumboni. Raha yake uwe unaliminya wakati unalinyona na kumumunya. Wajuvi wakimaliza kulila lazima wanyonye kokwa…
Ndizi mbivu ni tunda lenye sukari na haliliwi mpaka limenywe maganda. Kitaalamu ndizi huliwa kwa kumenywa maganda. Watu wanapenda kumenya maganda nusu huku unalimenya kidogo kidogo na kulila mpaka ufike chini. Wabishi wao humenya yote ndio wale na wakimaliza kula wanachukua yale maganda wanasugua meno ili yawe meupe pee; au wanachukua yale maganda wanajisugua kiungo kinachouma kupunguza maumivu…..
Chungwa ni tunda tamu sana na humenywa kwanza kisha linakatwa kati na ukilishika lazima uliminye na kulikamua mdomoni. Wabishi wanapenda wakila chungwa wanalikamua, wanalinyonya na wanakula mpaka nyama zake za ndani. Raha ya chungwa mbegu lazima uteme kwa kuzirusha….
Chenza kitaalamu unalimenya na kulila nyama ya ndani. Chenza haliliwi kama chungwa, usije kula chenza ukazani umekula chungwa. Wabishi wanamega chenza utazani chenza, na wanakula kisha wanatema mbegu zake, Raha ya kula chenza lazima ulimege ule kipande kimoja badala ya kingine……
Muwa ukiwa umekatwa si tunda ila ukiwa umepandwa ni tunda. Kitaalamu huwa hutolewa ganda na kuliwa ndani kwa kutafunwa, kisha unakaushwa utamu na kutemwa. Wabishi huwa wanakula muwa na maganda yake yote kisha wanatema. Wabishi hao huwa wanakula mpaka fundo. Ila utamu wa muwa ukikolea basi hadi macho yatafungwa…
Pilipilini tunda linalowasha sana na huliwa zikiwa mbichi au zimepikwa. Pilipili zenye kuleta muwasho mzuri ni pilipili mbuzi au mwendokasi. Utamu wa kula pilipili lazima makamasi yadondoke. Wabishi huwa wanakula pilipili na mbegu zake na makamasi yakidondoka hawayafuti huwa wanayameza kabisa. Raha ya kula pilipili ni pale unapoenda kunya matako lazima yawashe sana na ukila nyingi ushuzi wake unakuwa unawasha pia. Wale wanaovamia pilipili na wako kimayai mayai lazima chozi lidondoke na wapige chafya za kutosha….
Kitunguu ni mboga ambayo inaungwa kwenye mapishi mengi kuleta ladha. Wenye magonjwa ya unene wa kupitiliza au presha huwa wanashauriwa wale vitunguu vibichi. Hata wabishi wamekwama kwenye kitunguu, maana kikimenywa lazima chozi litoke. Hata uwe JIWE vipi kitunguu raha yake huliwa huku unalia bila kupenda….
Wajuvi fungukeni Ni Mboga/Tunda gani uliwaji wake lazime uwe WA kimasikhara masikhara Tu. Je kitu gani unapenda Kukila, Kutafuna, Kumumunya au Kulamba Kimasikhara?????
Bungo kiutaalamu lazima ulitie kidole ndio uliweke mdomoni. Likiwa mdomoni raha yake limumunywe taratibu mpaka utamu uishe. Wajuvi huwa hawali bila chumvi, huwa linatiwa chumvi kisha linatiwa kidole wanalikoroga na kidole mwisho wanalimumunya. Utamu wake unakilea pale unapolamba kidole…
Embe dodo kiutaalamu huliwa kwa kunyonywa, lazima ulishikilie na mkono mmoja kisha ulinyonye mpaka kokwa. Wataalamu wanaolijua vizuri huwa wanaliita embe Ng’ong’o na wanalila likiwa limeiva ila wabishi wananyonya hata likiwa bichi, litaivia tumboni. Raha yake uwe unaliminya wakati unalinyona na kumumunya. Wajuvi wakimaliza kulila lazima wanyonye kokwa…
Ndizi mbivu ni tunda lenye sukari na haliliwi mpaka limenywe maganda. Kitaalamu ndizi huliwa kwa kumenywa maganda. Watu wanapenda kumenya maganda nusu huku unalimenya kidogo kidogo na kulila mpaka ufike chini. Wabishi wao humenya yote ndio wale na wakimaliza kula wanachukua yale maganda wanasugua meno ili yawe meupe pee; au wanachukua yale maganda wanajisugua kiungo kinachouma kupunguza maumivu…..
Chungwa ni tunda tamu sana na humenywa kwanza kisha linakatwa kati na ukilishika lazima uliminye na kulikamua mdomoni. Wabishi wanapenda wakila chungwa wanalikamua, wanalinyonya na wanakula mpaka nyama zake za ndani. Raha ya chungwa mbegu lazima uteme kwa kuzirusha….
Chenza kitaalamu unalimenya na kulila nyama ya ndani. Chenza haliliwi kama chungwa, usije kula chenza ukazani umekula chungwa. Wabishi wanamega chenza utazani chenza, na wanakula kisha wanatema mbegu zake, Raha ya kula chenza lazima ulimege ule kipande kimoja badala ya kingine……
Muwa ukiwa umekatwa si tunda ila ukiwa umepandwa ni tunda. Kitaalamu huwa hutolewa ganda na kuliwa ndani kwa kutafunwa, kisha unakaushwa utamu na kutemwa. Wabishi huwa wanakula muwa na maganda yake yote kisha wanatema. Wabishi hao huwa wanakula mpaka fundo. Ila utamu wa muwa ukikolea basi hadi macho yatafungwa…
Pilipilini tunda linalowasha sana na huliwa zikiwa mbichi au zimepikwa. Pilipili zenye kuleta muwasho mzuri ni pilipili mbuzi au mwendokasi. Utamu wa kula pilipili lazima makamasi yadondoke. Wabishi huwa wanakula pilipili na mbegu zake na makamasi yakidondoka hawayafuti huwa wanayameza kabisa. Raha ya kula pilipili ni pale unapoenda kunya matako lazima yawashe sana na ukila nyingi ushuzi wake unakuwa unawasha pia. Wale wanaovamia pilipili na wako kimayai mayai lazima chozi lidondoke na wapige chafya za kutosha….
Kitunguu ni mboga ambayo inaungwa kwenye mapishi mengi kuleta ladha. Wenye magonjwa ya unene wa kupitiliza au presha huwa wanashauriwa wale vitunguu vibichi. Hata wabishi wamekwama kwenye kitunguu, maana kikimenywa lazima chozi litoke. Hata uwe JIWE vipi kitunguu raha yake huliwa huku unalia bila kupenda….
Wajuvi fungukeni Ni Mboga/Tunda gani uliwaji wake lazime uwe WA kimasikhara masikhara Tu. Je kitu gani unapenda Kukila, Kutafuna, Kumumunya au Kulamba Kimasikhara?????