Kuna bwana mmoja alikwenda kwa daktari akisumbuliwa na ugonjwa wa ngozi,baada ya maongezi ya muda mrefu kidogo,daktari akashauri
Daktari,"Itabidi uwe na tabia ya kula matunda na maganda yake,itakusaidia sana kuondoa tatizo lako."
Mgonjwa," Mmmmmmmhhh"
Daktari," Mbona unaguna"
Mgonjwa,"Hiyo itakuwa ngumu"
Daktari,"Kwani wewe unapendelea tunda gani"
Mgonjwa,"DAFU"