Tundaman adanganya

Kazitunayo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2013
Posts
3,782
Reaction score
3,199
Hivi msanii kama tunda kudanganya umma kama ulikua kwenye gari iliyopata ajali unamaana gani? ona sasa umeumbuka kijana aliyekua na marehemu kasema yeye ndo alikua ndani ya gari na wewe ulikua nyuma na gari nyingine kudanganya uma kama ulikua ndani ya gari ili iweje sasa? kweli kabisa umekosa kiki mpka uone hii ya ajali ndo bora kwako
 
Sasa bila kudanganya ungemwanzishia Uzi? Tayari ushampa kiki
 
Wanakuwa wamelewa hata wanapoongea hawajitambui;
 
Mleta mada uko wapi, Australia? Kama uko Bongo hii thread uliianzisha mida mibovu, sijui kama ulilala.
 
duuuh nliskia tu kuwa mshkaji kapata ajali, lakin hii ya kudanganya kama ni kweli bs ntamuona mjinga sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…