Tundaman "dume suruali" ya "MwanaFA" ilikuwa ya kwangu

Idea as an idea is 100% bullishit unless otherwise it is executed.Tundaman umekalia kuti kavu kusema ilikua ni idea yako.
 
Tundaman Muongo sana, nia yake itakua tu amharibie mwabaFA soko, FA akili kubwa yule hawezi kopy wimbo wa mtu.

Mnakumbuka Tundaman alivyosingiziaga eti alikua kwenye ile gari iliyopata ajali kipindi kile?
 
Imeshakuwa kawaida yao sasa kuna mmoja pia naye alisema kuwa alikuwa na wazo la kuimba ule mwimbo wa salome ila diamond kamuwahi.
 
Katumwa na Mwana FA, si unajua watu wazima wanapeana boost.
 
Ata movie za Olympus has fallen na White House down zilifanana idea lakini zote zikavuma kivyake
 
Kuna watu wanasema eti Tundaman hajawahi kuimba, analia tu juu ya beat sijui ni kweli?

wala hujakosea, kwanza ile sauti yake tu ukiisikia utasema unasikiliza wimbo wa msiba, ni kilio mwanzo mwisho
 
Naona amechoka kulia kwenye nyimbo zake, Anaanza kulia lia kwenye maisha halisi!!
 
mbona alimuibia mshkaji wangu athuman mbelwa mistari na huo wimbo ndio uliomtoa
 
Namsubiri aseme Wimbo wa Taifa (Muziki) wa kwake atanikuta pale kijiweni kwao Tip Top niko na fimbo namsubiri.
Akisema hivo nishtue,niungane na wewe kumtembezea kichapo ambacho hakijawahi kutokea duniani.
 
Hata Dr. Slaa wazo kugombee urais Chadema lilikuwa la kwake, hata Lowassa alikuwa na Wazo la kuwa Rais wa JMT, so Tundaman kaa kimya tu kama umewahiwa!

Hata mie nilikuwa na wazo la kummiliki mtoto Nifah ila mkuu The Bold kaniwahi [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Tangu adanganye kua kwenye ile ajali alikua yeye ndani..Kila anachoongea namuona muongo tu
 
Tundaman,ile singeli yako ya "kinatoka" naikubali sana yaani,yaani siishwi kuitazama dah we jamaa wewe. .eti kinatoka!!πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘†πŸ‘†πŸ‘
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…