LGE2024 Tundu Lissu ageuka Mbogo, CCM kuwabalagaza Uchaguzi uliopita Jimbo la Kibamba

LGE2024 Tundu Lissu ageuka Mbogo, CCM kuwabalagaza Uchaguzi uliopita Jimbo la Kibamba

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makamu mwenyekiti wa chama cha upinzani cha CHADEMA Tundu Lissu ageuka Mbogo wakati akizungumza katika Jimbo la Kibamba baada ya CCM kuwabagaza CHADEMA katika Uchaguzi wa mwaka 2019 wa Serikali za Mita na kuambulia Mitaa 9 pekee kati ya 44. Alidai kwamba matokeo hayo ni ushahidi wa kutokufanya kazi ipasavyo na kuhimiza wanachama wa CHADEMA kujiandaa kikamilifu kwa changamoto zijazo.
Soma pia:
-> Tundu Lissu: Abdul alikuja nyumbani kwangu kunihonga akiwa na kiongozi wa CHADEMA
-> Kiona Mbali: Lissu anaihitaji CHADEMA, CHADEMA haimuhitaji Lissu
 
Back
Top Bottom