Pre GE2025 Tundu Lissu akishindwa na kubaki CHADEMA itaaminika kweli ni Mbangaizaji, kuhama Chama utakuwa uamuzi sahihi kwake!

Pre GE2025 Tundu Lissu akishindwa na kubaki CHADEMA itaaminika kweli ni Mbangaizaji, kuhama Chama utakuwa uamuzi sahihi kwake!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ukiachilia mbali kutukanwa na Viongozi wenzake akina Ntobi, Yeriko nk Lakini hili la Ubangaizaji ni madharau yaliyotuka

Ukishindwa na kubaki Chadema Mh Tundu Antipas Lisu utajikuta unadharirika sana

Ni angalizo tu

Ahsanteni sana 😄
 
Back
Top Bottom