Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipoamua kuwarusha kwa Reggae baada ya hotuba

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu alipoamua kuwarusha kwa Reggae baada ya hotuba

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hakika Lissu mwisho wa maneno. Ameifanya Chadema kuonyesha kuwa majukwaa ya siasa hayana sababu ya kuwakodi kina Zuchu, Kiba, Singeli au Diamond maana wanapoteza hata maana ya mkutano na kuwa tamasha kwani knacho semwa hapo hakiwaingii akilini walengwa kwani wanafikiria swaga za bongo flava au singeli tu.

Yeye kaja na style ya kuwarusha kwa Reggae wasikilizaji wenyewe badala ya kushangaa na mbinu hii imeonekana kupata mvuto mkubwa kwani sasa reggae limerudisha umaarufu wake tena na kila Mahali likipigwa watu wanamkumbuka Lissu.

Hakika CCM mwaka huu, hata sijui itaishia wapi

 
Turning to the late musician's iconic tune "One Love," Marley's daughter and grandson are reimagining the song to raise funds and awareness for a good cause.

"It's a song of unity, it's a song that unites everyone," Cedella Marley, Bob's daughter, told ET's Kevin Frazier during a recent video chat, regarding their choice to recreate the classic hit. "When Daddy was writing this song, I don't think color, creed or social status mattered."

"It's really a song of just appreciating the human family, which is all of us," she added.

Bob, who would have been 75 this year, first recorded "One Love" with his group, Bob Marley and the Wailers, and it went on to become one of the artist's biggest hits.
 
Watu wenye akili hupenda kuburudika huku wakisikia maneno yenye ladha na kuchangamsha ubongo na yanayofariji.

Sio unasikiliza nyimbo muda wote ni "inama nikuchomeke. Sijui nakushindua adi unamwaga maji, mara nipake mafuta niingie nikiteleza kama nyoka, "upuuzi mtupu

Naamini chadema wakipata nafasi ya kuongoza nchi hii tutarudi kwenye misisngi, BASATA watafanya kazi yao ya kuregulate maudhui ktika sanaa na kukuza utu... maana saiv diamond keshaharibu kabisa maudhui
 
Anafurahia hao wanachangia pesa kwenye hivyo vyombo vya kuchangisha pesa kwani huvioni ? Macho anakodolea hivyo vyombo vinazunguka kukusanya pesa .Rudia kuangalia
 
Anafurahia hao wanachangia pesa kwenye hivyo vyombo vya kuchangisha pesa kwani huvioni ? Macho anakodolea hivyo vyombo vinazunguka kukusanya pesa .Rudia kuangalia
Dah! Unataka kusema anafurahi rohoni kwa hizo hela zinazochangiwa hapo😂🤣🤦🤪🏃
 
Back
Top Bottom