Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeratibu mashambulizi utamsikiaje tena?
Wakati lissu anapigwa risasii alikuwa kimyaa walahi akingojea taarifa ya msiba maraa paaap, lissu kapona kuingia kaburini walahiKabisa Mkuu kama Mkuu wa kitengo cha utekaji, utesaji na uuaji AKA watu wasiojulikana huyo mfoji vyeti ndiye aliyesimamia zoezi lote la kutaka kumuua Lissu.
Kuna ile clip inayomuelekeza Ndugai nini awafanyie wapinzani ili watoke washughulikiwe !! Ile ndiyo chanzo cha matatizo .Kabisa Mkuu kama Mkuu wa kitengo cha utekaji, utesaji na uuaji AKA watu wasiojulikana huyo mfoji vyeti ndiye aliyesimamia zoezi lote la kutaka kumuua Lissu.
Kuna ile clip inayomuelekeza Ndugai nini awafanyie wapinzani ili watoke washughulikiwe !! Ile ndiyo chanzo cha matatizo .
Mungu ni mwema siku moja watu watajuwa chanzo cha matatizo .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo anavyotoa waraka sasa kawa MKUU WA MKOA WA DODOMA?Kwan makonda mkuu wa mkoa wa dodoma ,tumia akili ,unajua wakat mwingine ujeur wako unafanya watu wakae kimya ukipatwa na matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo anavyotoa waraka sasa kawa MKUU WA MKOA WA DODOMA?
Kwan makonda mkuu wa mkoa wa dodoma ,tumia akili ,unajua wakat mwingine ujeur wako unafanya watu wakae kimya ukipatwa na matatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati lissu anapigwa risasii alikuwa kimyaa walahi akingojea taarifa ya msiba maraa paaap, lissu kapona kuingia kaburini walahi
Mda wote huo bashite lilikuwa kimya walahi halijawahi kutoa hata pole walahi, lisu kalala kitandani kenya na ubelgiji mwaka mzima walahi bashite hajawahi hata kutoa mia yake hata pole tu hajawahi kuitoa
Sasa leo anamuona anachanja mbuga walahi ulaya huko Roho imeanza kumuuma ndio anajifanya anamjua lissu sasa hivi, Roho inamuuma Bashite maana alijua Lissu atakufa walahi na lissu anazidi kuchanja mbuga tu walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Jerry murooooYeye DAB ndiye main suspect wa tukio hilo la Tundu Lissu........
Wengine ambao ni suspects wa hilo tukio wamo akina Musibaaaa na yule kibandiko.....