Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amefika kila kona ya Nchi hii, kampeni zimefanikiwa

Msaliti wa Nchi amefika maeneo ya stend na sokon tu

Ukizingatia hajaweka mabango watu hata hawamjui
Wanamjua wanaotumia Twitter tu
wasaliti ni wale walio mpiga risasi, walio muuwa ben saa nane! wakina azory, vifurushi baharini, hao ndio malafiki zenu wauwaji, kesho mwisho wa ccm
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
.
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
wasaliti ni wale walio mpiga risasi, walio muuwa ben saa nane! wakina azory, vifurushi baharini, hao ndio malafiki zenu wauwaji, kesho mwisho wa ccm
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
.
Yule mropokaji na msaliti wa Nchi Lissu atapigiwa kura na robert tu
mnalazimisha kupendwa, mbaya zaidi mnashindana na watu kwa kuwapiga risasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…