King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kabisa Lissu ,Uchaguzi huu lazima watu waende The Hague!!Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema jaribio lolote lenye nia ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 na kutumia mabavu litapelekea watu kufikishwa Mahakama ya Kimataifa 'The Hague'
Amesema, "Kuna uchunguzi unaendelea, wa matukio yote ambayo yanafanyika na yameshafanyika. Kuna list (orodha) ya watu wanaoangaliwa"
Ameongeza kuwa, yeyote atakayetumia mbinu za kiharamia kuvuruga Uchaguzi na kusababisha maafa kwa Watanzania anajiingiza mwenyewe katika orodha hiyo.
Tatizo lipo kwetu sisi wa afrika.Mbwa Koko Kama Mbwa Koko wengine. Mbona juzi kati hapa kapigwa pini na USA na amenywea. Boya Kama Boya Wengine. Ukiona Mtu yeyote kutoka Nchi Maskini Kama Afrika anapewa Position kubwa Kama hiyo, basi ujue, lengo ni atumike dhidi ya Waafrika wenzake. Huyu Bibi na the late Kofi Anan ni mifano hai!
A typical Sycophant!Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' sio mambo!.
Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Mtajua hamjui.Aache ujinga kila saa wazungu wazungu yaani domoni mwake kumejaa wazungu tu ohhh madini tutayaweka rehani kwa wazungu ohhh Amsterdam ohhh the Hague ohhh Mimi najua kingereza
Lisu lazima tumupnyesha kuwa Tanzania ni ya waswahili sio wazungu tarehe 28 October hatumpi kura
Corona mbona tumeishinda bila msaada wa mzungu wakati wao wanahaha hadi leoDunia ya leo unaweza kuishi bila kugusa kitu cha mzungu wewe?
Huyo punguani jina lake ndio la kwanza kwenye hiyo list ya bwana wake Amsterdam. Apeleke utopolo wake hukohuko Ubelgiji.Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema jaribio lolote lenye nia ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 na kutumia mabavu litapelekea watu kufikishwa Mahakama ya Kimataifa 'The Hague'
Amesema, "Kuna uchunguzi unaendelea, wa matukio yote ambayo yanafanyika na yameshafanyika. Kuna list (orodha) ya watu wanaoangaliwa"
Ameongeza kuwa, yeyote atakayetumia mbinu za kiharamia kuvuruga Uchaguzi na kusababisha maafa kwa Watanzania anajiingiza mwenyewe katika orodha hiyo.
Hata waandishi njaa waliopokea bahasha za kaki wataingizwa kwenye orodha .Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' sio mambo!.
Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amesema jaribio lolote lenye nia ya kuvuruga Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28 na kutumia mabavu litapelekea watu kufikishwa Mahakama ya Kimataifa 'The Hague'
Amesema, "Kuna uchunguzi unaendelea, wa matukio yote ambayo yanafanyika na yameshafanyika. Kuna list (orodha) ya watu wanaoangaliwa"
Ameongeza kuwa, yeyote atakayetumia mbinu za kiharamia kuvuruga Uchaguzi na kusababisha maafa kwa Watanzania anajiingiza mwenyewe katika orodha hiyo.
Hamjapokea hela ya mzungu kupambana na corona?[emoji23][emoji23]Corona mbona tumeishinda bila msaada wa mzungu wakati wao wanahaha hadi leo
Huyu mwana mama ni wanted MarekaniBensouda
Huyu wakili tapeli
Wazungu hawatuthibiti mkuu. Wazungu wanawathibiti wale wanaowazibia Mambo yao. Hata ungekuwa kiongozi mbaya kiasi gani Kama michongo yao inapita fresh hawakusumbui Mzee. Ndio Maana Kagame anakula tu Bata hadi leo, Mseveni anapeta, Do Santos alipeta Hadi alipojichokea. Rais wa Ivory Coast ameangeza Muda kinyume na Katiba na nakuhakikishia hawatafanya chochote kwa sababu ni kijana was Wafaransa. Orodha ni ndefu. Lakini Kama unawazibia trust me hata ungekuwa mzuri kiasi gani zitatengenezwa propaganda na zitatafutwa angle za kukufanya uonekane mbaya!Tatizo lipo kwetu sisi wa afrika.
Ukimpa mtu uongozi anataka atawale milele na kuumiza wenzake
Bado kujilimbikizia mimali mingi.
Kwakifupi naunga mkono wazungu kututhibiti.
Sisi ni kizazi cha laana Africa.
Mkuu unakwama wapi siku hizi au ndio wajiandaa kuwa karibu upate UDC?Kwani watu wakiuana ndani ya nchi si wanaua nchini kwao jiulize kwa nini wanashitakiwa the Hague?Unajitoa ufahamu mkuu kama hujui ngoja nikuambie unapotea na unapotosha watu ipo wapi Tume Huru ya uchaguzi Tanzania?imechaguliwa na nani au chombo gani hadi uiite Tume Huru yaani mkuu hata neno huru unajifanya hujui maana yake????Uchaguzi unaendeshwa na Tume yetu huru ya Uchaguzi, NEC, Rais wa JMT ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu, ametoa hakikisho la uchaguzi utakuwa huru na wa haki, haya mambo ya kutishiana 'The Hague' sio mambo!.
Kwa vile sio wote wanajua sheria, hivyo mtu mmoja kujua sheria, asitake kuwatisha watu wengine wote na 'The Hague', kuna mambo ya 'The Hague' na mambo ambayo sio ya 'The Hague', uchaguzi ni mambo yetu ya ndani, sio mambo ya 'The Hague', tusitishiane na 'The Hague'.
P
Huyu wakili tapeli
"Robert Amsterdamhas built a global career working as a legal gun-for-hire
and public relations svengali."
"Amsterdam's clients are hopeless causes, guilty of such overt criminality there really is no defense. And while it may be noble to defend such men, adhering to the best traditions and values of the West, Robert Amsterdam goes well beyond this, abusing this responsibility in order to carry out specific political objectives on behalf of the globalists with whom he consorts