Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amepewa adhabu na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC) ya kutofanya kampeni kwa siku 7 halafu anajirekodi malalamiko yake kwa kiingereza

Asante pia kwa kuendelea kuwa kumbusha watanzania wenzangu kuhusu hawa vibaraka wa mabeberu.
Tunatakiwa na hapa pembeni tuweke kibao;
BARABARA HII KWA HISANI YA MABEBERU.
Mna akili ya kipunguani sana nyie!
 
Wewe mama unalia vizuri najua hata kwa mumeo unaliaga vizuri hivyo hivyo.

Naomba Sugu anisugue vizuri Umeniota tukiwa kitandani?

Wewe mama unataka kupanuliwa wapi huko chini au kwa juu?




SUBIRI KIDOGO

Doooh Kaka Punguza matusi
Admin please delete hii kitu
 
Hapa ndio tunaona ujinga wa mwandishi na matusi yake kwa wanachadema. Huku kugeuzana mafala ndio kunaitafuna Tanzania kwa kuandika vitu visivyo na msingi. Cha ajabu mwisho mtu kaandika Mzee X X Y. Hii ni shida kabisa busara sijui imesafiri na gari gani. Wekeni ushahidi hapa kuwa katumwa.
 
kiingereza ni lugha rasmi ya nchi hii, sasa shida iko wapi?
 
Baadhi ya Wazee wa nyakati hizi ni wa hovyoo sana. Na hapo utakuta unategemea fadhila za ccm ili uende haja! Kutojitambua kwa wazee kama wewe ndio kunatesa vijana wenu!
 
wasted sperm

Tunajambo letu tar 28 viaz nyie
 

Nioneshe Kiongozi wa chadema hapo
 

Attachments

  • 2020-10-03 11.21.32.png
    1,017.4 KB · Views: 2

Sasa si bora hata kujirekodi kwa hiyo lugha ya Kiingereza ambayo inafahamika na Watanzania walio wengi tu kutokana na ukweli kwamba, hiyo lugha inafundishwa katika ngazi zote za elimu yetu!

Vipi kuhusu wale viongozi wanao hutubia mara kwa mara majukwaani kwa kutumia lugha za makabila yao? Mfano Kisukuma!! Ni Watanzania wangapi wanao kifahamu Kisukuma?

Halafu kuhusu hayo mauaji ya huyo kada wenu, kwa nini usiviachie vyombo vya sheria viendeleee na mchakato wake? Una uhakika gani kama waliotuhumiwa ndiyo wahusika kwa 100%? Maana nyiyi ccm hakuna mnachoshindwa. Mara kadhaa mlishiriki kuwabambikia raia wema kesi mkishirikiana na policcm.

Na vipi kuhusu mauaji ya makada wa Chadema waliouwawa miaka michache iliyopita? Mfano yule Alfonce Mawazo wa Geita, yule Lwena wa Namwawala Kilombero, nk. Nao waliuwawa na Chadema? Vipi kuhusu uchomwaji moto wa ofisi za Chadema kule Arusha na Mbeya? Nazo zilichomwa na Chadema? Waliomfanyia fujo Mgombea wa Chadema kule Hai, ni Chadema wale?

Au ndiyo ule msemo wa kunya anye kuku, akinya bata kaharisha?

Watanzania hatutaki double standard! Kila mtu awajibishwe kwa makosa yake. Siyo kwa sababu wamefanya Chadema basi iwe stori na haki kuchukua mkondo wake. Ila wakifanya ccm, kombe lifunikwe! No one is above the law in a Democratic State like Tanzania.
 
Wewe na mwigulu Nchemba wote ni mazuzu kwani huko ulaya bila nyinyi kumpiga risasi angefikaje? Kwenye Advance mwigulu Nchemba ni dalali? Watanzania wa wapi unawasemea? Maana watanzania siyo wajinga kama wewe wanajua kuwa CCM wanahaha kutengeneza kila uzushi uongo ujinga ili mradi wahalarishe kuwa Tundu lisu katumwa na wazungu kuja kugombea Urais, wanasahau kuwa bila CCM kumpiga risasi asingeweza kwenda Ulaya kutibiwa, CCM Tambueni kwa sasa ni mwaka 2020 watanzania wameamka wanajua vingi kuliko maccm machache majinga jinga hawataki kusikia ujinga tena wa mtu kama mwigulu Nchemba anayetumia jina na vyeti vya mtu mwingine.
 
Mleta mada hutaeleweka...kiuhalisia watanzania wameichoka ccm, sio kwamba wanampenda sana Lissu au kumchukia sana Magufuli. Tatizo hapa ni CCM.

Kwenye hali hii ukileta hoja yoyote kinzani unaweza kupigwa mawe!
Hata Kama ni hivyo, kuna Chama gani chenye weledi na uzalendo wa ku replace CCM.Ndio hawa saccos?. Watanzania wanaijua ccm, ila hawawezi chagua chama kisichoaminika aisee. Hakuna upinzani wa kuiondoa ccm, sio upinzani tu hata watu wazalendo wa kuongoza nchi hii Chadema hamna.
 
NECCM, na bado hadi ifike trh 28, mtaita maji maaa
2015, mlijiunga nyote mkaangukia pua. Tarehe 28,kadhalika.Nani mtanzania mjinga wa kumpa Mbowe kura,kwani hatujui Lissu anatumika tu kama wakala wa beberu huku mpango mzima anao mwenye chama?. Oct 28, ndio mwisho wa ruzuku zetu zinazowapa kiburi mpaka kutukana viongozi wetu.
 
Watanzania wa wapi wawe macho? Watanzania wa wapi unawasemea? tambua kuwa watanzania siyo wajinga kama wewe wanajitambua kujielewa vizuri na wanajua kuwa maccm hampati usingizi baada ya kuona jumuia za kimataifa zinaanza kujua IGP Tume isiyo huru wameanza kuwahuju chadema kwa uwazi bila aibu.mbona mna Balozi mbalimbali kwani Balozi huongea Kiswahili mda wote? Acha kila Nchi Duniani kote wajue vioja vya CCM wanavyowafanyia wapinzani.
 
Nenda anakoishi Amsterdam akakuongoze wewe na familia yako sisi watz utuachie JPM wetu, msituletee huu ujinga wenu hapa nchini.
Hakuna anaesema jpm asiwe rais,ila kuwa rais na kuongoza nchi ni mchakato ambao upo kikatiba, ndo maana Kuna uchaguzi ,kinachoitajika ni mchakato ulio huru na wa haki ,na wananchi wakupe ridhaa basi,na kwa mantiki iyo ata ukiongoza kwa miaka 100 Kama wananchi wanakupa ridhaa shida iko wapi? Vinginevyo uchaguzi ndani ya katiba ufutwe maana unakua hauna maana Kama hatuwezi kufuata misingi ya uchaguzi mwenyewe
 
Mwaka 2015 ni tofauti na mwaka 2020 ambapo watanzania wameamka hawataki ujinga wa CCM ujinga wa kuwatesa watumishi wa umma miaka mitano bila nyongeza za mishahara, upumbavu wa kuwabambikia kesi wapinzani kuwatesa wafanyabiashara na unyama mwingineo kibao, watanzania wa mwaka 2020 wana machungu hasira nyingi kwani wametaabika sana chini ya utawala wenu wa kidikteta.
 

Username "rose" jina kamili "Julius Mtendeleki." Ndiyo wale mnaotuletea nyuzi za kuliwa kimasikhara.

Matumizi ya lugha zisizokuwa rasmi ni sawa Ila zilizo rasmi ni taabu?

Utakuwa umesahau namba ya simu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…