Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Unazidi kuonyesha ukosefu wa akili, bunge lipi lililopitishwa? Inaelekea kiungo unachotumia kufikiria kina walakini
Huna unachojua zaidi ya kutetea CCM, utayaelewa wewe na mazombie ya Lumumba, narudia you have to be nut to defend CCMUpeo ukiwa mdogo unadhania Unajua kila kitu kumbe wewe ndio too low.
Ninayoyaongea leo utakuja kuyasikia na kuyaelewa siku si nyingi.
Akili nyepesi huandika bila utafiti. Huandika ya kuambiwa tu.Mnafiki kweli kweli bwana huyu:
1. Uchunguzi kuwabaini wauwaji uko wapi?
2. Matibabu kamnyima
3. Ubunge wamemfukuza
4. Vyombo vya habari anamnyima
Hayo mapenzi yameanza lini?
Mshamba sana huyu bwana.
CCM inakuongoza wewe na jamaa zako wote. Unapoongozwa na nuts maana yake na wewe ni nuts tofauti ni kwamba hujataka tu kwenda hospitali ili upewe dozi yako.Huna unachojua zaidi ya kutetea CCM, utayaelewa wewe na mazombie ya Lumumba, narudia you have to be nut to defend CCM
I am not nut ndio maana nawapinga, bali wewe unayetetea na kupongeza hadi kuzua uongo na yasiyokuwepo ili kuaminisha wenye akili it proves jinsi ulivyo na mtetemeko wa akili on your upstairsCCM inakuongoza wewe na jamaa zako wote. Unapoongozwa na nuts maana yake na wewe ni nuts tofauti ni kwamba hujataka tu kwenda hospitali ili upewe dozi yako.
Jikite kwenye hoja bwana mdogo hii mihemko ya bangi unazovutia chooni haiwezi kukusaidia.I am not nut ndio maana nawapinga, bali wewe unayetetea na kupongeza hadi kuzua uongo na yasiyokuwepo ili kuaminisha wenye akili it proves jinsi ulivyo na mtetemeko wa akili on your upstairs
Wewe ndio bwana mdogo na hoja unapindisha kwa sababu hauko sawa upstairs. Acha upotoshaji peleka kwa wasio na ufahamu, utajua kama bangi navutia chooni au LumumbaJikite kwenye hoja bwana mdogo hii mihemko ya bangi unazovutia chooni haiwezi kukusaidia.
Wewe huna ufahanu wowote zaidi ya mbwembwe za maneno machache ya kingereza. Rudi kwenye hoja achana na huu utoto.Wewe ndio bwana mdogo na hoja unapindisha kwa sababu hauko sawa upstairs. Acha upotoshaji peleka kwa wasio na ufahamu, utajua kama bangi navutia chooni au Lumumba
Wewe mwenye ufahamu ungeweza kusema humu barazani kuwa bunge lilipisha ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato? Mzee Makamba anasema umejengwa na CCM kuonyesha mlivyokosa akili hata ya kuazima, na unataka na mimi ni kubaliane na huo upuuzi? Mimi nina utoto wewe una wazimuWewe huna ufahanu wowote zaidi ya mbwembwe za maneno machache ya kingereza. Rudi kwenye hoja achana na huu utoto.
Wewe mwenye ufahamu ungeweza kusema humu barazani kuwa bunge lilipisha ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato? Mzee Makamba anasema umejengwa na CCM kuonyesha mlivyokosa akili hata ya kuazima, na unataka na mimi ni kubaliane na huo upuuzi? Mimi nina utoto wewe una wazimu
Uwanja wa alternative wa ndege wa Dar es salaam ni upi? Danganya wajinga, na kwa nini uwe Chato? Kwa nini usipitishwe na bunge? Wewe kama nani ujibu wakati msemaji mkuu wa serikali, waziri wa mawasiliano, waziri mkuu wako kimya, ni Makamba na wewe mwenye ufahamu kulikoni?Uwanja wa Chato ni alternative airport kwa ajili ya uwanja wa Mwanza ambao ni mkubwa na wa kisasa. Uwanja wa Mwanza ni hub mpya hivyo siku zote hauwezi kuwa na hub pasipo kuwa na uwanja mdogo karibu yake kama uwanja wa akiba.
Haya ni masuala ya kisayansi, ukiwa mtu wa kusikiliza umbeya wa mitaani huwezi kuelewa kitu.
Hoja za uchaguzi za CHADEMA ni kituko cha karne.“Kwakuwa amesema ananipenda kama alivyodai akiwa Ikungi, Singida aseme ni akina nani walionipiga risasi 16,
Kwakuwa ananipenda aseme ni kwanini alininyima pesa za matibabu baada ya kupigwa risasi.." Mhe. Tundu A Lissu.
"Kwakuwa amesema ananipenda aseme ni nani aliyemkusudia auawe katika hotuba yake aliyoitoa wakati akipokea ripoti ya madini na kusema kuwa anamsumbua sumbua katika agenda yake ya madini na kwamba bora msaliti auwawe"-; Mhe Lissu
Nani aliyekudanganya kwamba haujapitishwa na bunge?.Uwanja wa alternative wa ndege wa Dar es salaam ni upi? Danganya wajinga, na kwa nini uwe Chato? Kwa nini usipitishwe na bunge? Wewe kama nani ujibu wakati msemaji mkuu wa serikali, waziri wa mawasiliano, waziri mkuu wako kimya, ni Makamba na wewe mwenye ufahamu kulikoni?
Bunge lipi? Acha uongoNani aliyekudanganya kwamba haujapitishwa na bunge?.
Alternative ya Dar ni Zanzibar ambao ni dakika nane tu angani.
Alternative ya KIA ni Arusha dakika tano tu angani kwa triple 7.
Alternative ya Mwanza ni Chato dakika 15 angani.
Sio lazima niwe waziri kuweza kukupa taarifa wewe unayetanguliza matusi wakati unatumia ID na mimi natumia ID.
Bunge unalolijua wewe.Bunge lipi? Acha uongo
😂😂, Watu waingie barabarani, jiwe akimbie wapi😲? Hata sisi tunauwezo wa kuingia road kumpambania,msitutishe na slogan zenu mitamdaoni ambazo hamuwezi kizitekeleza.Tutadeal na kila kima, atakaejaribu kuleta upumbavu.🚶🚶🚶🚶
Wewe acha kubweka 🗣️, na kujitutumua huku jf, walikuwepo manunda wenye amshaamsha na walishindwa wewe kapuku mmoja utafanya nini😂.?Kumbe 'jiwe' ni jina lake rasmi?
Binadamu ukaitwe jiwe hata kujitafakari hamna?
Mengine yote tisa mwaka huu asijaribu kuiba uchaguzi kama anajipenda. Hiyo ndiyo habari yenyewe.
Wewe acha kubweka 🗣, na kujitutumua huku jf, walikuwepo manunda wenye amshaamsha na walishindwa wewe kapuku mmoja utafanya nini😂.?
Mkuu sibishani na nyumbu tena.Utaujua vipi ukapuku bila kuwa kapuku wewe mwenyewe.
Wahi buku 7 Lumumba.
Ita kujitutumua. Ita walikuwapo.
Suala ni rahisi ibeni uchaguzi. Habari ndiyo hiyo.
Mkuu sibishani na nyumbu tena.