Tetesi: Tundu Lissu Asikitishwa na yanayoendelea Chadema na Uchaguzi 2020

Usituandikie UONGO na kutaka kuufanya kuwa ni UKWELI WA KITAIFA
 
Acha uongo wewe,Tundu Lissu hajasema lolote,liongo kweli wewe
 
Nathani hakuna Mwanachadema anayemtaka Membe ahame huko aliko, bali wanataka alianzishie humo humo ndani.
 
Membe anatakiwa kwa udi na uvumba ndani ya ccm, siyo Cdm
 
Lisu ninayemfahamu hawezi kaa kimya! Mbona mengine mnaleta nukuu zake kwanini kwa hili asemewe?
 
Muulize huyo jamaa yako, kwamba wakati Tundu Lissu anamwambia hayo maneno alikua wapi? UBELIGIJI au wapi
 
Hii hadithi umeitungia ukiwa Chuttle?
 
Haaaaa Lumumba katika ubora wao hapo unatafutwa ugali wa Siku moja hadanganyiki mtu hapa kawaambie mbinu yetu imebuma wameistukia 2020 twende na membe
 


Another msakatonge!
 
CCM msikereke , raha hii ya kisiasa ni zamu kwa zamu - JamiiForums
 
Yani Membe kachafua hali ya hewa ndani ya chichiem na nje ya chichiem
 
Akili za kuambiwa changanya na zako. Kuandika umeandika wewe ila ujumbe ni wawale waliyo kutuma. CCM imevamiwa na wasakatonge.
 
Propaganda za kitoto ila kuna vihoja flani vimejifichamo. Ishu ya kutangazia ubaya maadui wake, kuhusishwa na rushwa ya uchaguzi na ile mambo mengine ya conspiracies vinaweza kuwa sababu ya jamaa kukatwa na kamati ya maadili km ilivyotokea kwa edo. Labda kama atagombea kupitia cdm ambako kule ni upepo wako tu ulivyo!
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaa.... Huu upuuzi hamsaidii mwenyekiti wenu kupambana na Membe, nape, bashe, jk, january, kinana na mwigulu.
Hivi timu mwenyekiti ukiwandoa bashite na lemutuz ni nani wengine?
 

Huu ujinga, Tundu Lissu naye atakuwa na matatizo kama ni kweli, kuna Mtu mwenye Kashfa zaidi ya Lowassa? Mbona Lissu alikuwa mmoja wao kumkaribisha? wana LUMUMBA Mmeanza fitina zentu rasmi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…