LGE2024 Tundu Lissu ataja Sifa za Wakala ndani ya kituo cha Kura, Asema Ubishi ni Muhimu, Atumia Neno la Ubaya Ubwela

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yuko sahihi kabisa.
 
chadema toeni huduma ya chakula cha mchana kwa mawakala wenu vituoni sio ubinadamu kumshindisha wakala kituoni kuanzia saa 2 hadi 12 jioni pasipo walau chochote kitu tumboni
Wameambiwa wakunje ngumi inatosha wao ni makamandaπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
 
CHADEMA wanakosea sn kusema watu wajitolee, mpe mtu hata elf 5 tu kwa siku kwa siku 10 ni 50 kitu ambacho wanaweza kabisa
Acha kupotosha ,kama makamu mwenyekiti chama kimeshinda kumpatia usafiri sembuse hawa vilaza wasiojitambua aisee?
 
chadema toeni huduma ya chakula cha mchana kwa mawakala wenu vituoni sio ubinadamu kumshindisha wakala kituoni kuanzia saa 2 hadi 12 jioni pasipo walau chochote kitu tumboni
Watu huwa wanaruhusiwa kuingiza chakula katika vituo vya kupiga kura?
 
Mkuu Erythrocyte strategies ni nzuri sana lakini Mawakala wanapata tabu sana hakuna Chakula, maji hata posho. Nimepita kata ya Makumbusho kuangalia mbona Mawakala qa CCM wanakula Supu Chipsi na Mishikaki, Juice, soda na maji kwanini mawakala qa Chadema hata maji ya kunywa wanajitegemea ?
Na wanafanya kazi kwa kujitolea sasa wanapoona wenzao wanapata mahitaji ya lazima kwa wakati na posho huoni kama inaelemea sana hii ishu ?
 
Ujumbe wako umefika, na tutachunguza
 
Mkuu umesahau huyu jamaa alishakaa kwa muda kule na kuna mambo mengi sana zaidi ya siasa
Wengi tu wamekaa sana kule akina January, Nyalandu, Nassari, Masha, Sugu, Lisu, Mo Dewji nk....nk πŸ˜€πŸ”₯
 
Hiyo ni aina ya wakala atakayeishia mahabusu πŸ’
 
hata ruzuku zinawatosha ni usimamizi mbovu
Ruzuku ni ndogo sn 106M kwa mwezi ukitoa mishahara ya watendaji nchi nzima, matumizi n.k pale hakuna kitu, CCM wanapokea ruzuku zaidi 3B kwa mwezi lakini bado wana vyanzo kama viwanja, kodi kwenye majengo yao, michango ya lazima na pesa wanazochukua serikalini kwa wizi lakini bado kuna njaa ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…